Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

‘Still Mshua EP’ ya Mau Music yazidi kupenya

Na mwandishi wetu, Gazetini MSANII wa Bongo Fleva anayefanya kazi zake nchini Afrika Kusini, Mau Music, ameendelea kutamba mitandaoni na kwenye majukwaa ya muziki baada...

Kinyerezi 1 Extension kubadili sura ya Dar es Salaam

Na mwandishi wetu, Gazetini Mabadiliko makubwa yanayoendelea ndani ya sekta ya nishati yanaanza kuibadili sura ya Jiji la Dar es Salaam, huku Serikali ikithibitisha kuwa...

Libya iliyogawanyika na mateso wanayopitia wanawake

TRIPOLI, Libya MATUKIO ya wanawake watatu kuuawa yamezua mjadala mkubwa juu ya usalama jinsia hiyo nchini Libya.Staa wa mitandao ya kijamii, Khansa Al-Mujahid, aliuawa kwa...

Rais akamatwa, kushitakiwa kwa shutuma za rushwa

SUCRE, Bolivia MWEZI mmoja tu baada ya kutoka madarakani, polisi nchini Bolivia wamemtia nguvuni Rais mstaafu, Luis Arce, ili kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa. Luis...

Mastaa wanaosubiriwa EPL dirisha dogo Januari

LONDON, Uingereza USAJILI wa dirisha dogo wa Januari, mwakani, uko njiani kwa klabu za soka barani Ulaya, zikiwamo zile za Ligi Kuu ya England (EPL). Manchester...

Aliyemuua Waziri Mkuu aomba radhi

TOKYO, Japan TETSUYA Yamagami, ambaye ni mwanaume aliyekutwa na hatia katika mashitaka ya kumuua Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amekiri makosa na...

Bunge lataka Rais apunguziwe kifungo

RIO Brazil BUNGE la Brazil limewasilisha mswada wa kuomba Rais wa zamani wa Taifa hilo, Jair Bolsonaro, kupunguziwa adhabu ya kifungo cha gerezani. Bolsonaro mwenye umri...

Marekani yazitaka Thailand, Cambodia kumaliza vita

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imezionya Thailand na Cambodia ikizitaka nchi jirani hizo kuacha mara moja vita inayoendelea. Kwa siku tatu mfululizo, yameshuhudiwa mapigano...

ICC yamfunga miaka 20 kiongozi wa jeshi Sudan

DARFUR, Sudan MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemuhukumu kifungo cha miaka 20 aliyekuwa kiongozi wa kikundi cha kijeshi cha Janjaweed nchini Sudan. Ali Muhammad Ali...

Kombe la Dunia 2026: Vita ya ubingwa iko hapa tu

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA utazizungumzia timu zenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia hapo mwakani, basi hutaacha kuitaja England 'Three Lions'....

Maswali magumu hatua ya makundi Kombe la Dunia 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini HAFLA ya droo ya hatua ya makundi imeshafanyika huko Marekani, ikimaanisha sasa yangeshapatikana 12 yeye timu nne kila moja. Zilizofuzu ni...

Kitabu cha Diara kina ukurasa wa Guardiola

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na akina Pacome Zouzoua. Kama kuna jambo linalowapa jeuri mashabiki, viongozi na benchi la ufundi la Yanga, ni uwepo wa...

Recent articles

spot_img