Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025, Bodi ya
Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni ...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini.
Hayo yamesemwa na...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameliomba Bunge la Tanzania kuidhinisha Sh 20.19 trilioni kwa ajili ya bajeti ya wizara hiyo kwa...
Na John Mapepele
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza...
Na Mwandishi Wetu
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa...
Na Mwandishi Wetu
IKIWA ni msimu wa tatu mfululizo Mbio za Hisani za Pugu Marathon zimeendelea kukusanya wanariadha kutoka maeneo tofauti nchini ambapo mwaka huu...
Na Mwandishi Wetu
Wakati Yanga ikiendelea na kampeni yake ya ‘Hatuchezi’ Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano watani hao wa jadi,Yanga na Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni...
Na Mwandishi Wetu
Mwenyewekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wanaochuja wagombea wa uchaguzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katika utekelezaji wa Ilani Mpya ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2025/30, Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya CCM Prof. Kitila...
Na Mwandishi Wetu
Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...