MUMBAI, IndiaWATU 39 wamepoteza maisha na wengine 51 kujeruhiwa katika tukio la kukanyagana lililotokea wakati wa mkutano wa siasa Kusini mwa India.Kwa mujibu wa...
Na Hassan Mwasha, GazetiniMIKUTANO ya kampeni inaendelea kote nchini. NI takribani mwezi mmoja tu umebaki kabla ya Watanzania kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika...
Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI nchini Canada umebaini kuwa wanawake wanaojihusisha na utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi wako hatarini kupata tatizo la...
LAGOS, NigeriaSUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, Burna Boy, 'amewapotezea' Cristiano Ronaldo na Lionel Messi na kumtaja Jay Jay Okocha kuwa ndiye mwanasoka bora wa...
MONROVIA, LiberiaRAIS wa zamani wa Liberia, George Weah, amekumbana na ukosolewaji mkali kutoka kwa mashabiki baada ya kauli yake ya hivi karibuni.Weah aliyewahi kucheza...
CATALUNYA, HispaniaKOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amesema staa wake, Lamine Yamal, atakuwa bora zaidi kutokana na hasira za kuikosa Ballon d'Or ya mwaka huu.Yamal...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu hiyo namba maalumu za kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia kulipa faini...
Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya kudhibiti jezi feki ni ngumu pamoja na jitihada wanazofanya na kutumia mbinu nyingi...
ACCRA, GhanaBONDIA mwenye umri wa miaka 27, Ernest Akushey, ameripotiwa kupoteza maisha, zikiwa ni siku chache tu tangu alipopoteza pambano.Akushey alidundwa na Jacob Dickson...
Na Winifrida Mtoi, Gazetini
TAARIFA za uzushi zimeendelea kusambaa kwa kasi kubwa katika mitandao ya kijamii, hasa kutokana na ongezeko la watumiaji wa majukwaa hayo...
TURIN, ItaliaSAINI ya kiungo wa Juventus, Manuel Locatelli, inawindwa vikali na klabu za Ligi Kuu ya England, zikiwamo Aston Villa na West Ham United.Wakati...
TURIN, ItaliaKLABU ya Manchester United imeanza kumfuatilia mlinda mlango wa AC Milan, Mike Maignan, licha ya kwamba wana upinzani mkali kutoka kwa Chelsea.Man United...