23.3 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Arsenal, Liverpool zamgombea Vinicius

LONDON, UingerezaIMERIPOTIWA kuwa klabu za England, Arsenal na Liverpool, kila moja inajaribu kuinasa huduma ya mshambuliaji wa Real Madrid raia wa Brazil, Vinicius Jr.Vinicius...

Timu 64 kushiriki Kombe la Dunia

NYON, UswisSHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) linatazamia kufikisha timu 64 zitakazokuwa zikishiriki fainali za Kombe la Dunia.Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza katika...

Palestina yaiita mezani Israel kumaliza vita

JERUSALEM, PalestinaRAIS wa Palestina, Mahmoud Abbas, amesema yuko tayari kushiriki katika mpango wowote wa kutafuta suluhu kati yao na Israel.Abbas ameyasema hayo kupitia video...

Rais Ufaransa atupwa jela miaka mitano

PARIS, UfaransaRAIS wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani.Wakati huo huo, adhabu hiyo imeenda sambamba na hatua ya Mahakama...

Museveni kugombea tena; ni tamaa au uzalendo?

Na mwandishi wetu, GazetiniNI takribani miaka 40 akiwa madarakani na sasa Yoweri Museveni ni miongoni mwa wagombea wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu...

Meya Uingereza aibuka kumjibu Trump

LONDON, UingerezaMEYA wa Jiji la London, Sadiq Khan, amemwita Rais wa Marekani, Donald Trump, kuwa ni mtu aliyetawaliwa na ubaguzi wa rangi, jinsia na...

Zelensky aonya Urusi kuvamia mataifa mengine

KYIV, UkraineURUSI itaendelea kuvamia mataifa mengine ya Ulaya endapo Umoja wa Mataifa hautachukua hatua za kuizuia.Aliyesema hayo ni Rais wa Ukraine, Zelensky, wakati alipokuwa...

Maswali tata vidonge vya uzazi wa mpango

Na mwandishi wetu, GazetiniAPEKSHA Shetty, mwanamke raia wa India mwenye makazi yake mjini Vienna, anasema alianza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango akiamini vingemsaidia...

Kwanini wanasoka Ujerumani hawaipati Ballon d’Or?

Munich, UjerumaniMARA ya mwisho kwa mchezaji wa Ujerumani kutwaa tuzo ya Ballon d'Or ni miaka takribani 30 iliyopita. Ni Matthias Sammer aliyeibeba mwaka 1996.Sammer...

Antony apachika bao, aizima Nottingham

SEVILLE, HispaniaBAO la dakika ya 85 la winga wa zamani wa Manchester United, Antony, limeiwezesha Real Betis kupata sare ya mabao 2-2 dhidi ya...

Kinga ya Ukimwi yashushwa bei

WASHINGTON DC, MarekaniDAWA ambayo ni kinga dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi sasa itauzwa kwa Dola 40 (Shilingi 99,061 za Tanzania), ikiwa ni punguzo la...

Mutharika arudi Ikulu, Chakwera akubali yaishe

LILONGWE, MalawiALIYEWAHI kuwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika, ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika wiki iliyopita.Wakati huo huo, aliyekuwa...