24.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Vijana 60 washikiliwa wakipinga Kombe la Dunia Morocco

RABAT, MoroccoPOLISI nchini Morocco wanawashikilia vijana zaidi ya 60 katika maandamano yanayoendelea miji mikubwa, ikiwamo Rabat na Casablanca.Maandamano hayo, ambayo asilimia kubwa ya washiriki...

Saliba mitano tena Arsenal

LONDON, UingerezaBEKI wa kati wa Arsenal, William Saliba, amefichua kuwa amesaini mkataba mpya wa miaka mitano klabuni hapo.Nyota huyo raia wa Ufaransa amesema ameongeza...

Watanzania wahimizwa kushiriki mchezo wa kuogelea bila kujali umri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Watanzania wamehimizwa kushiriki na kujifunza mchezo wa kuogelea bila kujali umri ili kulinda afya na kutengeneza mahusiano na watu tofauti ikiwamo...

Wanne wafariki kanisa likichomwa moto

MICHIGAN, MarekaniMTU asiyefahamika amechoma moto kanisa na kusababisha vifo vya watu wanne waliokuwa ndani wakati wa ibada ya Jumapili ya wiki iliyopita.Hata hivyo, Thomas...

Taliban yaachia tena raia wa Marekani

KABUL, AfghanistanHATIMAYE Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imetangaza kumwachia huru raia wa Marekani aliyekuwa ameshikiliwa kwa miezi tisa.Januari, mwaka huu, raia wawili wa Marekani...

Dhambi ya usaliti inamtafuna Nicolas Sarkozy?

Na mwandishi wetu, GazetiniHIVI karibuni, Mahakama ya Uhalifu ya Paris, Ufaransa, ilimuhukumu kifungo cha miaka mitano gerezani aliyewahi kuwa Rais wa nchi hiyo, Nicolas...

Marekani, Urusi na vita ya kugombania rasilimali Afrika Magharibi

Na mwandishi wetu, GazetiniTUJIKUMBUSHE; Septemba 14, mwaka huu, Gazeti la Washington Post liliutangazia ulimwengu juu ya mazungumzo kati ya Marekani na Serikali inayoongozwa kijeshi...

Changamoto zinazomsubiri Rais mpya Malawi

Na mwandishi wetu, GazetiniPETER Mutharika, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 85 na wakati mwingine afya yake ikizua mijadala, amerejea katika siasa za...

Utafiti: Wasiopiga mswaki hatarini kupata saratani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BAKTERIA wa kinywani wanaoweza kuondoshwa kwa kupiga mswaki husababisha saratani ya kongosho, kwa mujibu wa utafiti mpya nchini Marekani. Kwa miaka...

Waandamana kupinga mauaji ya wasichana watatu

BUENOS AIRES, ArgentinaMAELFU ya raia wa Argentina wameingia mitaani kulaani mauaji ya wasichana watatu.Katika video iliyozua taharuki baada ya kupostiwa mitandaoni, wasichana hao wanaonekana...

Amorim: Sihofii kufutwa kazi Man United

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema tetesi za kufungashiwa virago klabuni hapo hazimuumizi kichwa kwa sasa.Amorim amekuja na kauli hiyo baada ya...

Vijana 20 waokolewa wakipelekwa vitani Ukraine

NAIROBI, KenyaPOLISI nchini Kenya wamewaokoa vijana wake zaidi ya 20 waliokuwa wakipelekwa Urusi kwa ajili ya kusafirishwa hadi Ukraine.Taarifa ya polisi inasema vijana hao...