Ads: info@gazetini.co.tz |
25.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Hezbollah yasema haiko tayari kusitisha vita

NABATIEH, Lebanon Pande mbili hizo zimeingia kwenye mapigano ya muda mrefu sasa, hasa tangu Hezbollah ilipoamua kuisaidia Iran ilipoanza kushambuliwa na Marekani na Israel mwanzoni...

Zelensky amuomba Putin wayamalize

KYIV, Ukraine RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemuomba mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, wakutane na kuzungumza juu ya kumaliza vita vinavyoendelea kati ya mataifa mawili...

Akon: Wanamuziki wana majina, hawana pesa

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...

Waogeleaji 400 kukiwasha Masaki kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa kushiriki Mashindano ya vilabu kwa nchi za Afrika Mashariki yatakayofanyika...

Soma hii kuhusu Hungary na Kombe la Dunia

BUDAPEST, Hungry HIVI unafahamu kuwa hakuna timu ya soka ya taifa yenye wastani mzuri wa mabao ya kufunga kuliko Hungary katika historia ya fainali za...

Maisha ya Diddy gerezani yanasikitisha, rufaa bado kizungumkuti

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya mawakili wa Sean Combs 'Diddy' inapambana kupinga hukumu aliyopewa rapa huyo anayeendelea kusota gerezani tangu Oktoba, 2025, akitumikia kifungo cha...

Kaka afunga mjadala, ataja bingwa Kombe la Dunia 2026

RIO, Brazil KIUNGO wa zamani wa AC Milan, Kaka, ameipa timu yake ya Taifa ya Brazil nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia...

Di Maria: Ronaldo, Messi hawatishi tena

MADRID, Hispania WINGA wa zamani wa Real Madrid, Angel Di Maria, amesema zama za Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kutawala mijadala ya soka zimekwisha. Di Maria...

Antonio Conte avunjiwa mkataba Napoli

MILAN, Italia KLABU ya Napoli imetangaza kuachana na kocha wake, Antonio Conte, akiwa amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake. Mwaka mmoja uliopita, Conte aliyewahi kuzinoa Inter...

Andoni Iraola kuepuka ‘jehanamu’ ya makocha wa vigogo EPL?

LONDON, Uingereza MIAKA ya hivi karibuni imewashuhudia makocha waliokabidhiwa mikoba ya kuzinoa timu kubwa za Ligi Kuu ya England (EPL) wakipitia nyakati ngumu, wengi wakishindwa...

Serena Williams: Umri umekwenda, akili bado inawaza mataji

LOS ANGELES, Marekani TAARIFA ya Serena Williams kutaka kurejea katika tenesi imeshangaza wapenzi wa tenesi duniani kutokana na umri mkubwa wa staa huyo. Licha ya umri...

Baada ya Ederson, Carrick ataka ‘mido’ mwingine

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United imekamilisha usajili wa Ederson kutoka Atalanta ya Serie A, kocha Michael Carrick ametaka kiungo mwingine wakati huu wa dirisha kubwa la...