28.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Aliyetoka jela kesi ya bangi asajiliwa

LONDON, EnglandALIYEWAHI kuwa mchezaji wa Arsenal, Jay Emmanuel-Thomas, amejiunga na AFC Totton, zikiwa ni wiki chache tu tangu alipotoka jela.Jay alihukumiwa kifungo cha miaka...

Simons bado kidogo kutua Chelsea

LONDON, EnglandCHELSEA wanakaribia kukamilisha usajili wa kiungo wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Uholanzi, Xavi Simons.Baada ya kumuuza Noni Madueke aliyejiunga na...

Rodri awindwa Madrid, atengewa bil. 348/-

MADRID, HispaniaREAL Madrid wametenga Pauni milioni 100 (zaidi ya Sh bil. 348 za Tanzania) za kuibomoa Manchester City kwa kumchukua kiungo wao, Rodri.Kocha mpya,...

Ten Hag amzuia Xhaka kurudi England

MUNICH, UjerumaniKOCHA wa Bayer Leverkusen, Erik ten Hag, ameweka wazi kuwa kiungo wake raia wa Uswis,Granit Xhaka, hauzwi.Xhaka aliyewahi kukipiga Arsenal, anahusishwa na mpango...

Rashford: Barca kama nyumbani tu

MANCHESTER, EnglandBAADA ya kutangazwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Barcelona, Marcus Rashford amesema anajisikia yuko nyumbani.Rashford mwenye umri wa miaka 27, amejiunga na Barca...

Waandamana kumpinga rais Ukraine

KYIV, Ukraine MAELFU ya raia wa Ukraine wameandamana kuipinga hatua ya Rais Volodymyr Zelensky kupitisha sheria inayobana uhuru wa taasisi kubwa mbili, ikiwamo ya Kuzuia...

JET, IUCN wawanoa waandishi wa habari kuhusu uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga Katika kuhakikisha kuwa waandishi wa habari wanakuwa mstari wa mbele kuelimisha jamii na kuchochea sera kuhusu uchumi wa buluu, Chama cha...

Agoma kuzungumza mahakamani, afungwa maisha

MOSCOW, UrusiMWANAUME raia wa Urusi, Bryan Kohberger, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani, licha ya kugoma kuzungumza mahakamani wakati wa usikilizaji wa kesi ya mauaji...

Trump amshambulia Obama, ataka ashitakiwe

WASHINGTON, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, amemtaja mtangulizi wake, Barack Obama, kuwa ni muhaini na anayepaswa kufunguliwa mashitaka.Kwa mujibu wa Rais Trump, Obama alishirikiana...

Maguire aachwa Man United ikielekea Marekani

MANCHESTER, EnglandBEKI wa kati, Harry Maguire, hajaongozana na kikosi cha Manchester United kilichoelekea Chicago, Marekani, kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu ujao.Maguire...

Liverpool yahamishia mtego kwa Rodrygo

MADRID, HispaniaKLABU ya Liverpool inafuatilia kwa karibu hatima ya staa wa Real Madrid, Rodrygo.Kwa wiki za hivi karibuni, Rodrygo raia wa Brazil amekuwa akihusishwa...

Wissa aondoka kambini, anukia Tottenham

LONDON, EnglandKITENDO cha mshambuliaji wa Brentford, Yoane Wissa, kuondoka katika kambi ya timu hiyo huko Ureno kimeibua tetesi kuwa huenda amerejea London kukamilisha usajili...