28.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Usiyoyajua kuhusu biashara ya kuuza figo

NAIROBI, KenyaMAKALA haya yanaanzia kwa kijana raia wa Kenya, Amon Kipruto, ambaye anavua shati na kuonesha kovu katika tumbo lake, alama aliyobaki nayo baada...

Kucha za bandia, ‘make-up’ chanzo ugonjwa wa pumu

LONDON, EnglandUMAKINI unahitajika. Utafiti umeonesha kuwa kucha bandia ni chanzo kikubwa cha ugonjwa wa pumu, licha ya wanawake wengi, hasa wa maeneo ya mjini,...

IUCN na JET kuwanoa waandishi katika kuandika masuala ya Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mradi wa Bahari Mali, unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN), unalenga kuonesha mifano ya vitendo ya uchumi...

Mbaroni kwa kumuua mama mkwe na kumjeruhi mkewe

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Jumanne Kibagi, mkazi wa kijiji cha Nyarufu wilayani Bunda kwa tuhuma za kumuua mama mkwe...

Polisi Babati yawafikia vijana  wakaa vijiweni, wacheza pool table

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Wilaya ya Babati mkoani  Manyara limewataka vijana kuacha tabia ya kukaa vijiweni na kucheza pool table asubuhi badala yake wajishughulishe...

Boti  ya mirungi kutoka Kenya yanaswa Tanga

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga, limekamata boti aina ya fibre, iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kutoka nchini Kenya...

Njaa yaua binti wa miaka minne

JERUSALEM, IsraelHUKU vita ikiendelea, binti mwenye umri wa miaka minne, Razan Abu Zaher, amepoteza maisha kutokana na njaa kali inayowakumba wakazi wa Ukanda wa...

Liver yamnasa Ekitike kwa bil. 277/-

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL wamefanikisha usajili wa mpachikaji mabao Hugo Ekitike, huku dili hilo likigharimu Pauni milioni 79 (zaidi ya Sh bil. 277 za Tanzania).Ikumbukwe, nyota...

CCM yaja na mbinu mpya kudhibiti uzushi

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutumia nembo maalumu (QR Code) ya utambuzi wa taarifa zake ili kuzuia  na kudhibiti uzushi na upotoshaji. Kupitia...

Gabriel: Arsenal tunataka makombe msimu ujao

LONDON, EnglandMSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes, anaamini msimu ujao ni wao katika kunyakua mataji.Kwa miaka sita ya kocha Mikel Arteta, Arsenal wamebeba taji la...

Kenya yajitoa  mashindano ya  CECAFA 

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ imejiondoa katika mashindano maalumu ya CECAFA  yaliyopangwa kuanza leo Julai 21,2025 jijini Arusha  kwa ajili  ya maandalizi...

Pacquiao amtamani tena Barrios

LAS VEGAS, MarekaniMKONGWE wa ndondi za uzito wa welter, Manny Pacquiao, amesema anatamani kuona akirudiana na bingwa wa WBC, Mario Barrios.Pacquiao mwenye umri wa...