24 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Staa Marekani jela kwa wizi wa TV

LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI maarufu nchini Marekani, Sean Kingston, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu na nusu gerezani katika kesi yake ya wizi.Kingston, pamoja na mama...

Wafanyakazi Shirika la Ndege Canada wagoma

TORONTO, CanadaWAFANYAKAZI wa Shirika la Ndege la Canada wameendelea na mgomo wakishinikiza ongezeko la mshahara.Kwa mujibu wa Shirika hilo, mgomo huo wa wafanyakazi, wakiwano...

Chupa za kioo changamoto kwa mazingira, TBL, PETPRO waja na suluhisho

Na Jonathan Benedict, Gazetini Kila mwaka, maelfu ya tani za chupa za kioo hutupwa nchini Tanzania baada ya matumizi. Tafiti za mazingira zinaonyesha kuwa chini...

Arteta amjibu mkongwe Arsenal

LONDON, EnglandKOCHA Mikel Arteta amesema hana mpango wa kumpokonya unahodha kiungo wake raia wa Noray, Martin Odegaard.Arteta ni kama amemjibu lejendari wa Arsenal, Tony...

Kounde aongeza mkataba Barcelona

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imetangaza kumpa mkataba mpya beki wake wa pembeni raia wa Ufaransa, Jules Kounde, na sasa atabaki Camp Nou hadi mwaka...

Salah amwaga machozi kumlilia Jota

MERSEYSIDE, EnglandSTAA wa Liverpool, Mohamed Salah, alishindwa kuzuia machozi yasimtoke aliposikia mashabiki wa klabu hiyo wakiliimba jina la aliyekuwa mchezaji wao, Diogo Jota, ambaye...

Guardiola: Ederson bado namba moja City

MANCHESTER, EnglandKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amesisitiza kuwa bado Ederson ataendelea kuwa changuo la kwanza langoni msimu huu.Guardiola amekuja na kauli hiyo licha...

Mafuriko yaua watu 200 Pakistan

ISLAMABAD, PakistanWATU takribani 200 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya mvua kubwa iliyosababisha mafuriko mjini Kashmir, Pakistan.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, likiwamo Shirika la...

Nyota hawa watashangaza wengi msimu huu EPL

LONDON, EnglandMSIMU mpya wa uhondo wa mechi za Ligi Kuu ya England (EPL) ulianza jana. Kama ilivyo kawaida, wapo wachezaji wanaopewa nafasi kubwa ya...

United, Arsenal moto utawaka wikiendi hii

LONDON, EnglandMECHI kubwa ya kwanza msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), ambapo Jumapili hii Manchester United watakuwa nyumbani Old Trafford kuwakaribisha Washika...

Jeshi Mali na jaribio la kupindua Serikali

BAMAKO, Mali HALI ya taharuki imeibuka nchini Mali baada ya wanajeshi takarbani 50 kushikiliwa kwa madai ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali inayoliongoza Taifa hilo...

Wizara yateua viongozi wa muda Kamisheni ya Ngumi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, amemteua mwandishi wa habari, Patrick Nyembera kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kamisheni...