24 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

CCM Kunduchi yamkabidhi Urio fomu ya kugombea udiwani

Na Mwandishi Wetu Mgombea wa udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata Kunduchi, Michael Urio leo Agosti 18, 2025 amechukua fomu ya kutetea nafasi yake...

Reijnders afikia rekodi ya Aguero

MANCHESTER, EnglandSTAA mpya wa Manchester City, Tijjani Reijnders, amekuwa mchezaji wa kwanza wa klabu hiyo baada ya Sergio Aguero kufunga na kutoa 'asisti' katika...

Chiesa atamani kubaki Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandKIUNGO wa pembeni wa Liverpool, Federico Chiesa, amefichua kuwa matamanio yake ni kubaki klabuni hapo.Wakati huo huo, Muitalia huyo amesema anajiandaa kukaa mezani...

Donnarumma dili limeiva Man City?

MANCHESTER, EnglandRIPOTI zinaeleza kuwa Manchester City wmaebakiza hatua chache tu kukamilisha usajili wa kipa wa PSG raia wa Italia, Gianluigi Donnaruma.Man City wamehamishia nguvu...

Mechi moja tu, mashabiki hawamtaki kocha West Ham

LONDON, EnglandBAADA ya kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Sunderland katika mechi yao ya kwanza msimu huu wa Ligi Kuu ya England, mashabiki wa...

Nkunku mguu mmoja Bayern Munich

MUNICH, UjerumaniMATAJIRI wa Chelsea wameanza mazungumzo na Bayern Munich, ajenda kuu ikiwa ni mshambuliaji raia wa Ufaransa, Christopher Nkunku.Blues wako tayari kumwachia Nkunku, ambaye...

Mkorea wa PSG awindwa Arsenal, Man United

PARIS, UfaransaKLABU kongwe za England, Arsenal na Manchester United, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Korea Kusini, Lee Kang-in.Nyota huyo...

Stars ni rekodi za kibabe tu CHAN 2024

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza katika historia ya CHAN, timu ya soka ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetinga robo fainali, tena...

Kipindupindu chaua 40 wiki moja Sudan

DARFUR, SudanUGONJWA wa kipindupindu umesababisha vifo vya watu 40 ndani ya wiki moja nchini Sudan, huku vita vinavyoendelea vikihusishwa na tatizo hilo.Vita inayoendelea kati...

Watu 360 waugua baada ya chakula cha bure

JAKARTA, IndonesiaWATU zaidi ya 360, wakiwamo wanafunzi, wameugua ghafla baada ya kupata chakula cha bure kinachotolewa shuleni mjini Sragen.Chakula hicho ni sehemu ya programu...

Trump sasa ana kwa ana na Zelenskyy

KYIV, UkraineRAIS wa Marekani, Donald Trump, sasa amepanga kukutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy.Mkutano huo utakaofanyika mjini Washington, DC, unakuja...

Meya matatani tuhuma za rushwa

LOS ANGELES, MarekaniMEYA wa New Orleans, LaToya Cantrell, amefunguliwa mashitaka akituhumiwa kwa makosa ya rushwa.Wakati huo huo, mashitaka hayo yamemuhusisha pia mlinzi binafsi wa...