24.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Mwakinyo aahidi burudani ya masumbwi Mwanza, ataka  mrithi wake atoke huko

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BONDIA wa Kimataifa wa  ngumi za kulipwa Tanzania, Hassan Mwakinyo anatarania kupanda ulingoni Desemba 26, 2025, jijini Mwanza, huku akitamani kupata...

Yanga yaomba radhi mashabiki,yafafanua kuhusu mchango wa milioni 100 CCM

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Yanga imewaomba radhi mashabiki wake na kutoa kuhusu fedha kiasi cha sh 100 milioni walizotoa mchango katika harambee ya kuchangia...

Chart| Ujuzi wa AI wazidi kuwa kigezo kwenye ajira duniani

Na Jonathan Benedict, Gazetini Idadi inayoongezeka ya viongozi duniani sasa wanazingatia ujuzi wa kutumia Akili Unde au bandia (AI) kama sharti lisiloweza kupuuzwa wakati wa...

Mtifuano kati ya Serikali na upinzani Ivory Coast, Uganda, Chad

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA wiki chache za hivi karibuni, medani ya siasa barani Afrika imeshuhudia purukushani wanazopitia wanasiasa wa upinzani katika mataifa ya Ivory...

Madrid, Barca ni patashika msimu ujao La Liga

MADRID, HispaniaMSIMU ujao wa La Liga unaotarajiwa kuanza Agosti 15, mwaka huu, ni wa kwanza kwa Xabi Alonso akiwa kocha wa Real Madrid na...

Dodoma Jiji yaachana na Ajibu

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Dodoma Jiji imeachana na mchezaji Ibrahim Ajibu aliyejiunga na timu hiyo msimu uliopita. Tangu klabu hiyo imemtangaza kocha mpya, Vincent Mashami...

Dawa za kulevya tani 30 zaingizwa nchini kama mbolea

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA),  imekamata shehena ya dawa mpya ya kulevya aina ya mitragyna speciosa tani...

Macho yote msimu ujao Ligi Kuu ya Uturuki

ISTANBUL, UturukiKUELEKEA msimu ujao, klabu za Ligi Kuu ya Uturuki zimeonekana kuvimbiana na zile za matajiri wa Saudi Arabia katika soko la usajili la...

Utafiti| Paka huwatazama binadamu kama paka wenzao

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Utafiti wa kipekee uliofanywa na mtaalamu wa mahusiano kati ya wanyama na binadamu (anthrozoologist) John Bradshaw kutoka Chuo Kikuu cha Bristol...

Watafiti waonesha teknolojia ya 6G yenye kasi mara 9,000 zaidi ya 5G

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Watafiti wamefanikiwa kuonesha teknolojia ya mawasiliano ya 6G ambayo inaweza kuwa hadi mara 9,000 zaidi ya kasi ya 5G ya sasa,...

Mgombea urais aliyepigwa risasi afariki

BOGOTA, ColombiaMGOMBEA urais katika Uchaguzi Mkuu ujao nchini Colombia, Miguel Uribe, amefariki akiwa na umri wa miaka 39 ikiwa ni miezi miwili tu imepita...

CCM yaomba kuchangiwa bilioni 100 za kampeni

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinahitaji kupata sh 100 bilioni kwa ajili ya shughuli za kampeni kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...