MANCHESTER, EnglandSTAA mpya wa Manchester City, Tijjani Reijnders, amekuwa mchezaji wa kwanza wa klabu hiyo baada ya Sergio Aguero kufunga na kutoa 'asisti' katika...
MERSEYSIDE, EnglandKIUNGO wa pembeni wa Liverpool, Federico Chiesa, amefichua kuwa matamanio yake ni kubaki klabuni hapo.Wakati huo huo, Muitalia huyo amesema anajiandaa kukaa mezani...
MANCHESTER, EnglandRIPOTI zinaeleza kuwa Manchester City wmaebakiza hatua chache tu kukamilisha usajili wa kipa wa PSG raia wa Italia, Gianluigi Donnaruma.Man City wamehamishia nguvu...
MUNICH, UjerumaniMATAJIRI wa Chelsea wameanza mazungumzo na Bayern Munich, ajenda kuu ikiwa ni mshambuliaji raia wa Ufaransa, Christopher Nkunku.Blues wako tayari kumwachia Nkunku, ambaye...
PARIS, UfaransaKLABU kongwe za England, Arsenal na Manchester United, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Korea Kusini, Lee Kang-in.Nyota huyo...
LONDON, EnglandKOCHA Mikel Arteta amesema hana mpango wa kumpokonya unahodha kiungo wake raia wa Noray, Martin Odegaard.Arteta ni kama amemjibu lejendari wa Arsenal, Tony...
CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imetangaza kumpa mkataba mpya beki wake wa pembeni raia wa Ufaransa, Jules Kounde, na sasa atabaki Camp Nou hadi mwaka...
MERSEYSIDE, EnglandSTAA wa Liverpool, Mohamed Salah, alishindwa kuzuia machozi yasimtoke aliposikia mashabiki wa klabu hiyo wakiliimba jina la aliyekuwa mchezaji wao, Diogo Jota, ambaye...
MANCHESTER, EnglandKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amesisitiza kuwa bado Ederson ataendelea kuwa changuo la kwanza langoni msimu huu.Guardiola amekuja na kauli hiyo licha...