30.4 C
Dar es Salaam

Afcon

Rekodi ya Obi yavunjwa AFCON 2025

RABAT, Morocco TIMU ya soka ya taifa ya Senegal imetinga robo fainali ya msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuifunga...

Diarra kiboko, abeba tuzo akitinga robo AFCON

RABAT, Morocco PENALTI mbili alizookoa kipa wa Yanga, Djigui Diarra, zimeiwezesha timu yake ya taifa ya Mali kuing'oa Tunisia na kutinga hatua ya robo fainali...

Osimhen: Tumejipanga kuing’oa Msumbiji

RABAT, Morocco STRAIKA wa timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Victor Osimhen, amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo wao wa Jumatatu ya wiki ijayo dhidi...

AFCON yamponza Aubameyang, Serikali yamtimua

LIBREVILLE, Gabon SERIKALI ya Gabon imetangaza kuvunja benchi la ufundi la timu ya soka ya taifa, ikiwa ni pamoja pia na kumtimua kikosini mshambuliaji wake,...

Uganda yaacha historia AFCON 2025

RABAT, Morocco ACHANA na kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Nigeria jana Desemba 31, 2025. Pia, sahau kuhusu kuishia hatua ya makundi ya fainali za...

Stars kumaliza ‘uteja’ kwa Morocco?

Na mwandishi wetu, Gazetini NI JUMAPILI ya wiki hii, Januari 4, 2025. Taifa Stars itakapoumana na Morocco katika mchezo wa hatua ya 16 Bora ya...

Asafiri kwa baiskeli akiifuata AFCON

RABAT, Morocco ILIKUWA ni safari ya umbali mrefu wa kilometa 3,000 akitoka Paris, Ufaransa, hadi nchini Morocco kuzifuata fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka...

Kwa Eagles, hata macho ya kengeza yameuona ubora wa Stars

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kweli Tanzania kupitia timu yake ya soka ya taifa 'Taifa Stars' imeuanza vibaya msimu huu wa fainali za Mataifa ya...

Stars yaanza vibaya AFCON, Bacca amficha Osimhen

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeanza vibaya msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025)...

Tanzania v Nigeria; Dakika 90 za ‘Daudi na Goliath’ AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini HII ni mechi ya kwanza kwa kila timu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025). Ni mechi ya...

Mastaa 10 wenye pesa ndefu AFCON 2025

RABAT, Morocco KARNE hii ya 21 imeshuhudia vipaji vikubwa vya soka barani Afrika na sasa wanaoneshana kazi katika fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka...

Gamondi: Nigeria wasitarajie ‘kitonga’

RABAT, Nigeria KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Miguel Gamondi, ameweka wazi kuwa vijana wake hawatotanguliza hofu mbele ya Nigeria...

Recent articles

spot_img