30.4 C
Dar es Salaam

Afcon

Mbeumo afunguka kilichowaponza AFCON

YOUNDE, Cameroon KIWANGO kibovu katika kipindi cha kwanza cha mchezo wao dhidi ya Morocco ndicho kilichoigharimu timu ya taifa ya Cameroon, kwa mujibu wa Bryan...

Nigeria v Morocco … Diaz, Osimhen nani kupasuka nusu fainali?

RABAT, Morocco WEKA kando nusu fainali ya Senegal na Misri. Nigeria dhidi ya Morocco ni vita nyingine kali ya kuisaka tiketi ya kuingia fainali msimu...

Senegal v Misri … Mane, Salah wana vita ya kisasi AFCON 2025

RABAT, Morocco UKIACHA vita ya Nigeria na Morocco, nusu fainali nyingine kali msimu huu wa fainali za AFCON ni ile itakayozikutanisha Senegal dhidi ya Misri. Ratiba...

Ethiopia yaomba uenyeji AFCON 2028

ADIS ABABA, Ethiopia SHIRIKISHO la Soka la Ethiopia (EFF) limetuma maombi ya kuziandaa fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka 2028. Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Diaz aandika historia mpya AFCON

RABAT, Morocco MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Brahim Díaz, amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya fainali za Mataifa Afrika (AFCON) kufunga bao...

Misri v Ivory Coast; Rekodi zimemaliza kazi mapema

RABAT, Morocco TIMU ya soka ya taifa ya Ivory Coast, ambao ni mabingwa watetezi msimu huu wa fainali za AFCON, dhidi ya Misri inayoongoza kwa...

Algeria v Nigeria … Ni vita ya mabeki, washambuliaji

RABAT, Morocco MATAIFA mawili makubwa katika soka yatavaana Jumamosi hii ya Januari 10, 2026, ukiwa ni mchezo wa robo fainali ya msimu huu wa michuano...

Cameroon v Morocco; Vita ya heshima, rekodi robo fainali AFCON 2025

RABAT, Morocco NI kesho Januari 9, 2026, ambapo ni wazi mashabiki wa timu ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars' watakuwa upande wa Cameroon katika mchezo...

Robo fainali AFCON 2025; Mali, Senegal na ‘derby’ ya kibabe Morocco

RABAT, Morocco NI 'derby' ya majirani wa Afrika ya Magharibi, ukiwa ni mchezo wa robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 inayoendelea nchini Morocco. Mali na...

Huyu ndiye Michael Kuka; shabiki aliyegeuka kivutio AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA umefuatilia kwa karibu mechi zote za msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), basi sura yake si...

Osimhen, Salah watinga robo fainali AFCON 2025

RABAT, Morocco MABAO mawili ya Victor Osimhen yameiwezesha timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kupata ushindi wa 4-0 dhidi ya Msumbiji katika mchezo wa...

Stars yang’olewa kibishi AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeondoshwa kwenye fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) lakini gumzo ni...

Recent articles

spot_img