Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Afcon

Kwa Eagles, hata macho ya kengeza yameuona ubora wa Stars

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kweli Tanzania kupitia timu yake ya soka ya taifa 'Taifa Stars' imeuanza vibaya msimu huu wa fainali za Mataifa ya...

Stars yaanza vibaya AFCON, Bacca amficha Osimhen

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeanza vibaya msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025)...

Tanzania v Nigeria; Dakika 90 za ‘Daudi na Goliath’ AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini HII ni mechi ya kwanza kwa kila timu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025). Ni mechi ya...

Mastaa 10 wenye pesa ndefu AFCON 2025

RABAT, Morocco KARNE hii ya 21 imeshuhudia vipaji vikubwa vya soka barani Afrika na sasa wanaoneshana kazi katika fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka...

Gamondi: Nigeria wasitarajie ‘kitonga’

RABAT, Nigeria KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Miguel Gamondi, ameweka wazi kuwa vijana wake hawatotanguliza hofu mbele ya Nigeria...

Gamondi katikati ya makocha 9 AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini FAINALI za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakuwa na makocha 10 ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza...

Aubameyang kukosa ufunguzi AFCON 2025

MARSEILLE, Ufaransa SHIRIKISHO la Soka la Gabon (FEGAFOOT) limethibitisha kuwa straika wa timu ya taifa hilo, Pierre-Emerick Aubameyang, atakosekana katika mchezo wao wa kwanza wa...

Samatta na vita yake AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA kuna alama isiyofutika na itakayobaki kwa miaka mingi katika historia ya soka la Tanzania, basi ni kile alichokifanya Mbwana Samatta. Mchezaji...

Vikosi vya AFCON 2025 (2); Kundi B

Na mwandishi wetu, Gazetini ZIMEBAKI siku chache tu kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco. GAZETINI...

Vikosi vya AFCON 2025 (1); Kundi A

ZIMEBAKI siku chache tu kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco. GAZETINI inakuletea vikosi vya wachezaji...

Taifa Stars yakabidhiwa bendera tayari kwa AFCON 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameiaga rasmi na kuikabidhi bendera timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa...

Mastaa wa kigeni Bongo watakaotua AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini LIGI Kuu Bara imeendelea kuvuna ushawishi wake nje ya si tu Afrika Mashariki, bali pia katika soka la Afrika kwa ujumla. Ni...

Recent articles