30.4 C
Dar es Salaam

Afcon

Gamondi katikati ya makocha 9 AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini FAINALI za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakuwa na makocha 10 ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza...

Aubameyang kukosa ufunguzi AFCON 2025

MARSEILLE, Ufaransa SHIRIKISHO la Soka la Gabon (FEGAFOOT) limethibitisha kuwa straika wa timu ya taifa hilo, Pierre-Emerick Aubameyang, atakosekana katika mchezo wao wa kwanza wa...

Samatta na vita yake AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA kuna alama isiyofutika na itakayobaki kwa miaka mingi katika historia ya soka la Tanzania, basi ni kile alichokifanya Mbwana Samatta. Mchezaji...

Vikosi vya AFCON 2025 (2); Kundi B

Na mwandishi wetu, Gazetini ZIMEBAKI siku chache tu kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco. GAZETINI...

Vikosi vya AFCON 2025 (1); Kundi A

ZIMEBAKI siku chache tu kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco. GAZETINI inakuletea vikosi vya wachezaji...

Taifa Stars yakabidhiwa bendera tayari kwa AFCON 2025

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameiaga rasmi na kuikabidhi bendera timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa...

Mastaa wa kigeni Bongo watakaotua AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini LIGI Kuu Bara imeendelea kuvuna ushawishi wake nje ya si tu Afrika Mashariki, bali pia katika soka la Afrika kwa ujumla. Ni...

Simulizi za AFCON (6): Mastaa na vitendo vya ushirikina

LAGOS, Nigeria MADAI ya vitendo vya kishirikina si jambo geni katika historia ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON). Hii ikoje? Endelea kusoma. Wakati wa fainali...

Simulizi za AFCON (7): Mechi moja Stars yatimua kocha

DAR ES SALAAM, Tanzania KATIKA fainali za Mataifa ya Afrika msimu uliopita, 2024, Taifa Stars ilikuwa sehemu ya timu zilizokuwa gumzo kwa kiasi fulani kwenye...

Alidumu siku 80 tu Yanga, sasa shujaa wa Mali akielekea AFCON

Na mwandishi wetu, Gazetini MALI ni moja ya mataifa 24 yatakayokuwa nchini Morocco kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazoanza...

Simulizi za AFCON (5): Refa aliyemaliza mpira mara mbili

TUNIS, Tunisia INAKUWAJE rahisi kulisahau jina la Janny Sikazwe katika historia ya michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON)? Ni ngumu. Katika mechi ya hatua ya makundi...

Simulizi ya AFCON (4): Ebola yatikisa, Morocco yajitoa

RABAT, Morocco HISTORIA inaturudisha mwaka 2015. Morocco ikiwa inatarajiwa kuwa mwenyeji, iliomba kuhairisha michuano hiyo kutokana na hofu ya kuingiziwa maambukizi ya ugonjwa wa Ebola. Ni...

Recent articles

spot_img