Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Afcon

Simulizi za AFCON (7): Mechi moja Stars yatimua kocha

DAR ES SALAAM, Tanzania KATIKA fainali za Mataifa ya Afrika msimu uliopita, 2024, Taifa Stars ilikuwa sehemu ya timu zilizokuwa gumzo kwa kiasi fulani kwenye...

Alidumu siku 80 tu Yanga, sasa shujaa wa Mali akielekea AFCON

Na mwandishi wetu, Gazetini MALI ni moja ya mataifa 24 yatakayokuwa nchini Morocco kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazoanza...

Simulizi za AFCON (5): Refa aliyemaliza mpira mara mbili

TUNIS, Tunisia INAKUWAJE rahisi kulisahau jina la Janny Sikazwe katika historia ya michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON)? Ni ngumu. Katika mechi ya hatua ya makundi...

Simulizi ya AFCON (4): Ebola yatikisa, Morocco yajitoa

RABAT, Morocco HISTORIA inaturudisha mwaka 2015. Morocco ikiwa inatarajiwa kuwa mwenyeji, iliomba kuhairisha michuano hiyo kutokana na hofu ya kuingiziwa maambukizi ya ugonjwa wa Ebola. Ni...

Simulizi za AFCON (3): Ajali ya ndege yaua wachezaji Zambia

NDOLA, Zambia MASHABIKI wa soka nchini Zambia wataendelea kuitunza kwenye kumbukumbu zao Aprili 27, 1993. Ilikuwaje siku hiyo? Endelea kusoma. Siku hiyo, wachezaji wa timu ya...

Timu hizi zitashangaza wengi AFCON 2025

CAIRO, Misri FAINALI za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi Desemba 21, mwaka huu. Zitafanyika nchini Morocco. Kati ya timu...

Simulizi za AFCON (2): Basi la wachezaji Togo latekwa, watatu wauawa

LOME, Togo ILIKUWA ni mwaka 2010, ambapo kikundi cha watu wenye silaha za kivita kililiteka basi la wachezaji wa timu ya taifa ya Togo. Ilikuwaje? Ni...

Simulizi za AFCON (1): Drogba na waasi wa Ivory Coast

ABIDJAN, Ivory Coast AKIWA kwenye kiwango cha juu na mafanikio makubwa ya soka, wakati huo akiitumikia Chelsea, Didier Drogba, alijitosa katika vita ya wenyewe kwa...

Mastaa EPL watakaoibukia AFCON 2025

CAIRO, Misri MSIMU huu wa fainali za Mataifa Afrika (AFCON) utaanza Desemba 21, mwaka huu, na kumalizika Januari 18, mwakani. Kama ilivyo kawaida, fainali hizo huzipa...

Recent articles