Ads: info@gazetini.co.tz |
27.7 C
Dar es Salaam

Makala

Mambo 5 kuhusu fainali za AFCON 2025

Na mwandishi wetu, GazetiniNI msimu wa 35 wa fainali za Mataifa Afrika (AFCON) na michuano hiyo itafanyika Kaskazini mwa Afrika katika Taifa la Morocco.Msimu...

Miamba 16 iliyoingia makundi Shirikisho Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniJUMLA ya timu 16 zimeshaingia hatua ya makundi ya msimu huu wa 2025-26 wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kinachosubiriwa kwa...

Uchaguzi Mkuu Ivory Coast na hofu ya machafuko

Na mwandishi wetu, GazetiniTAIFA kongwe la Afrika Magharibi, Ivory Coast, limeingia katika Uchaguzi Mkuu, huku wagombea watano wakiwania kiti cha urais. Miongoni mwao ni...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JUMATANO ya wiki ijayo, Oktoba 29, Watanzania watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani. Ni haki ya Kikatiba inayotekelezwa kila baada...

Ni zamu ya Kane kubeba Ballon d’Or?

LONDON, UingerezaMWANZONI mwa mwaka huu, Harry Kane alitimiza ndoto yake ya miaka mingi; kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu. Ni baada ya miaka 15 ya...

Umoja wa Afrika na presha ya mapinduzi ya kijeshi

Na mwandishi wetu, GazetiniMBALI ya kulaani tukio la jeshi kupindua Serikali, Umoja wa Afrika (AU) umesitisha kwa muda uanachama wa Madagascar, huku hatua hiyo...

Nauza kura yangu, nani atafika bei Oktoba 29?

Na Hassan Mwasha, GazetiniKAMPENI zimeshika kasi. Ni siku chache tu zimebaki kuelekea Oktoba 29, siku ambayo Watanzania watatumia haki yao ya Kikatiba kupiga kura...

Kwanini Yanga wamemfungashia virago Folz?

Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA sasa benchi la ufundi la Yanga lipo chini ya kocha msaidizi raia wa Malawi, Patrick Mabedi, ambaye aliajiriwa hivi karibuni."Uongozi...

Hofu, imani za kidini zatajwa kuchangia mimba zisizotarajiwa Maswa

Na Samwel Mwanga, Maswa Katika kijiji cha Dulungwa, wilayani Maswa mkoani Simiyu, wanawake wengi wanaishi kwa wasiwasi na mkanganyiko kuhusu matumizi ya njia za kisasa za...

Shabiki aliyebadili jina na kujiita ‘Man United’

LONDON, UingerezaMAPENZI yake yasiyo na mfano kwa Manchester United yalianza baada ya klabu hiyo ya Ligi Kuu ya England kutwaa taji la Ligi ya...

Raila Odinga; Mtoto wa Makamu wa Rais aliyeacha alama siasa za upinzani Kenya

Na mwandishi wetu, GazetiniSIASA za Afrika Mashariki zimegubikwa na simanzi nzito baada ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amolo Odinga. Mwanasiasa...

Mzee Mwakilembe: Nilianza na jembe, leo namiliki kiwanda cha Shaba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MZEE Benson Gabriel Mwakilembe, maarufu kwa jina la Tall, ni miongoni mwa wachimbaji wa madini waliogeuza changamoto kuwa fursa. Baada ya...

Recent articles