Ads: info@gazetini.co.tz |
30.3 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Hakimi aandika historia mpya Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa timu ya soka ya Morocco, Achraf Hakimi, amekuwa mchezaji wa Afrika aliyecheza mechi nyingi za Kombe la Dunia. Nyota huyo wa...

Haiti yatangulia kung’oka Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Haiti imekuwa ya kwanza kuaga msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia zinazofanyika Marekani, Mexico...

Vifo vya wahamiaji vyaongezeka nchini Marekani

WASHINGTON DC, Marekani IDADI ya vifo vya wahamiaji wanaoshikiliwa katika magereza nchini Marekani imeongezeka mara dufu tangu Rais Donald Trump aliporejea madarakani. Kwa mujibu wa Gazeti...

Aliyeitungua Ureno bado kidogo awe kipofu

HOUSTON, Marekani URENO ya Cristiano Ronaldo ingeweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mechi yao ya kwanza msimu huu wa Kombe la Dunia lakini...

Mexico ya kwanza kuvuka makundi

MEXICO CITY, Mexico MEXICO imekuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mexico ikiwa Kundi A,...

Scholes: Ronaldo wa sasa labda acheze kipa

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes, amesema Cristiano Ronaldo hastahili kuwa kiongozi wa safu ya ushambuliaji ya timu ya soka ya...

Bongo Fleva v Ushetani: Nicki Minaj amegusa walipopita V Money, BillNass

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIVI karibuni, rapa wa Marekani, Nicki Minaj, alitoa kauli tata kuhusu soko la muziki, akisema limejaa vishawishi vinavyoweza kukutoa kwenye imani...

Baba yake Kim Kardashian alivyobadili jinsia na kuwa mwanamke

LOS ANGELES, Marekani OKTOBA 28,1976, dunia ilikuwa ikimtazama mwanaume aitwaye Bruce Jenner akitwaa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimipiki kwa upande wa mchezo wenye...

Missy Elliott: Safari ya ustaa na baba alivyotaka kumpiga risasi

LOS ANGELES, Marekani JINA lake ni Melissa Arnette lakini wapenzi wa muziki wa R&B na Hip hop, hasa katika miaka ya 1990, wanamfahamu kwa jina...

Afrika Kusini ilivyogeuka ya moto kwa wageni

PRETORIA, Afrika Kusini AFRIKA Kusini ina wahamiaji zaidi ya milioni tatu, sawa na asilimia 5 ya watu wote nchini humo, wengi wakitokea nchi za Kusini,...

Usiyoyajua kuhusu rapa aliyehukumiwa jela miaka 20

TEXAS, Marekani WIKI hii imekuwa mbaya kwa mashabiki wa rapa Michael Lawrence Tyler maarufu kama Mystikal baada ya staa huyo kuhukumiwa kifungo cha miaka 20...

Dili zinazotolewa macho usajili wa kiangazi Ulaya

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya...

Recent articles

spot_img