Ads: info@gazetini.co.tz |
27.6 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Wissa aondoka kambini, anukia Tottenham

LONDON, EnglandKITENDO cha mshambuliaji wa Brentford, Yoane Wissa, kuondoka katika kambi ya timu hiyo huko Ureno kimeibua tetesi kuwa huenda amerejea London kukamilisha usajili...

Usiyoyajua kuhusu biashara ya kuuza figo

NAIROBI, KenyaMAKALA haya yanaanzia kwa kijana raia wa Kenya, Amon Kipruto, ambaye anavua shati na kuonesha kovu katika tumbo lake, alama aliyobaki nayo baada...

Kucha za bandia, ‘make-up’ chanzo ugonjwa wa pumu

LONDON, EnglandUMAKINI unahitajika. Utafiti umeonesha kuwa kucha bandia ni chanzo kikubwa cha ugonjwa wa pumu, licha ya wanawake wengi, hasa wa maeneo ya mjini,...

IUCN na JET kuwanoa waandishi katika kuandika masuala ya Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mradi wa Bahari Mali, unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN), unalenga kuonesha mifano ya vitendo ya uchumi...

Njaa yaua binti wa miaka minne

JERUSALEM, IsraelHUKU vita ikiendelea, binti mwenye umri wa miaka minne, Razan Abu Zaher, amepoteza maisha kutokana na njaa kali inayowakumba wakazi wa Ukanda wa...

Liver yamnasa Ekitike kwa bil. 277/-

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL wamefanikisha usajili wa mpachikaji mabao Hugo Ekitike, huku dili hilo likigharimu Pauni milioni 79 (zaidi ya Sh bil. 277 za Tanzania).Ikumbukwe, nyota...

Gabriel: Arsenal tunataka makombe msimu ujao

LONDON, EnglandMSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes, anaamini msimu ujao ni wao katika kunyakua mataji.Kwa miaka sita ya kocha Mikel Arteta, Arsenal wamebeba taji la...

Pacquiao amtamani tena Barrios

LAS VEGAS, MarekaniMKONGWE wa ndondi za uzito wa welter, Manny Pacquiao, amesema anatamani kuona akirudiana na bingwa wa WBC, Mario Barrios.Pacquiao mwenye umri wa...

Sinner, Djokovic kuikosa National Bank Open

LOS ANGELES, MarekaniMASTAA wa tenesi, Jannik Sinner na Novak Djokovic, hawatoshiriki michuano ijayo ya National Bank Open itakayofanyika Canada.Wawili hao walitarajiwa kushiriki mashindano hayo...

Usyk achota bil. 343/- kwa dk. 14 tu

LONDON, EnglandKWA ushindi wa 'KO' ya raundi ya tano dhidi ya Daniel Dubois, Oleksandr Usyk amevuna Pauni milioni 98 (zaidi ya Sh bil. 343...

Pickford kusaini miaka minne Everton

MERSEYSIDE, EnglandMABOSI wa Everton wanakaribia kutangaza mkataba mpya wa miaka minne mlinda mlango wao raia wa England, Jordan Pickford.Pickford mwenye umri wa miaka 31,...

Rashford rasmi kwa mkopo Barca

MANCHESTER, EnglandIMERIPOTIWA kuwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, atatimkia Barcelona kwa mkataba wa mkopo.Barca walifika mezani na ofa yao ya mkopo na Man...

Recent articles

spot_img