WASHINGTON DC, Marekani
KATIBU wa jeshi la Marekani, Dan Driscoll, amewasilisha barua ya kujiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni miezi 18 tu imepita tangu alipoteuliwa.
Taarifa za...
BEIJING, China
MATAIFA ya Iran na China yameendeleza uhusiano wao mzuri wa kidiplomasia baada ya viongozi wake wa ngazi za juu serikalini kukutana mjini Bishkek.
Waziri...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la...
LOS ANGELES, Marekani
MKONGWE wa muziki wa Country, Dolly Parton, amezikwa Ijumaa ya wiki iliyopita, Agosti 29, 2026 mjini Tennessee, Marekani.
Taarifa zinaeleza kuwa Dolly aliyefariki...
MERSEYSIDE, Uingereza
HATIMAYE mshambuliaji raia wa Ufaransa, Bradley Barcola, amejiunga na Liverpool akitokea PSG, usajili huo ukigharimu kitita cha Pauni milioni 123.
PSG walitaka Pauni milioni...
TEHRAN, Iran
KWA mara ya kwanza baada ya wiki mbili, Iran na Marekani zimeshambuliana katika Mlango-Bahari wa Hormuz.
Kwa mujibu wa taarifa, vikosi vya kijeshi vya...
LONDON, Uingereza
STRAIKA Ollie Watkins ameeleza masikitiko yake ya kuondoka klabuni hapo, akisema hakupenda kuachana nayo kwa staili hiyo.
Watkins (30), amejiunga na Al-Hilal ya Ligi...
NEW YORK, Marekani
STAA wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic, ameishia raundi ya kwanza ya michuano ya US Open.
Safari yake kwenye michuano hiyo imeishia...
TEHRAN, Iran
NI miezi sita sasa tangu Mojtaba Khamenei alipoteuliwa kuwa kiongozi mpya wa Iran baada ya baba yake kuuawa katika shambulizi la kwanza lililofanywa...
WASHINGTON DC, Marekani
IKIWA ni miezi sita imepita tangu vilipoanza vita kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel, mambo yamezidi kuwa magumu kwa pande...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya pili ya makala haya, tuliona Osama akihojiwa na Miller akieleza chanzo cha uhusiano wake mbaya na Marekani, ambapo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya kwanza, tuliona mwandishi wa habari wa Marekani, Miller, akimuuliza Osama kilichomsukuma kuacha utajiri wake na kuingia kwenye uwanja...