Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050, Julai 17, 2025 kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete...
Na Mwandishi Wetu
Bondia wa ngumi za kulipwa Hassan Ndonga maarufu Tyson wa Bongo amefunga Mtaa wa Banda Mabibo, Dar es Salaam kutokana na wingi wa mashabiki waliojitokeza...
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Gf Trucks & Equipment imeibuka mshindi wa jumla katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba 2025 , kupitia kiwanda chake...
Na Mwandishi Wetu
Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimefanya uteuzi wa awali wa waogeleaji watakaoshiriki Mashindano ya Africa Aquatics Kanda ya III, yatakayofanyika Oktoba 16-19,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kuelekea pambano la ngumi la 'Dar Boxing Derby', bondia Karim Mandonga kama kawaida yake, ametambulisha ngumi mpya atakayompigia mpizani wake Shaban...
Na Mwandishi Wetu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. John Jingu, ametoa wito mahsusi kwa vijana na...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na viungo vinavyohisiwa kuwa ni vya binadamu katika nyumba moja...
Na Mwandishi Wetu
Waziri mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kadudu, Kijiji cha Lupaso, Wilaya...
Na Mwandishi Wetu
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewaambia wasuasi na viongozi wa chama hicho kuwa wajiandae kwani akitoka ni mchakamchaka.
Lissu amezungumza hayo leo Julai...