CARACAS, Venezuela
MTOTO wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu ni miongoni mwa waliookolewa katika operesheni inayoendelea baada ya tetemeko la ardhi lililoikumba Venezuela.
Taarifa za...
LAGOS, Nigeria
WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria.
Mapema wiki hii, waasi hao...
MADRID, Hispania
WATU zaidi ya 1,000 wamepoteza maisha kutokana na magonjwa yanayohusiana na kuongezeka kwa joto nchini Hispania.
Taarifa hiyo inakuja wakati Hispania ikiwa imepata ongezeko...
ACCRA, Ghana
WATU 12 wameripotiwa kupoteza maisha katika mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali nchini Ghana, ukiwamo Mji Mkuu wa Accra.
Mvua iliyonyesha ni ya kiwango cha...
MEXICO CITY, Mexico
MASHABIKI wawili wa kandanda wamepoteza maisha nchini Mexico wakati wakishangilia ushindi wa timu yao ya Taifa.
Tukio hilo limetokea baada ya Mexico kupata...
MIAMI, Marekani
LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba, ameeleza kusikitishwa na uamuzi wa VAR kuwanyima penalti.
Drogba anazungumzia mchezo wao...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema maandalizi ya Michuano ya Kombe...
MUNICH, Ujerumani
WAENDESHA mashitaka wa Ujerumani wamethibitisha kukamatwa kwa mwanaume anayehusishwa na mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994.
Mwaka huo, Rwanda iliingia kwenye machafuko ya...
LOS ANGELES, Marekani
WHATSAPP ni miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye ushawishi mkubwa, ukitajwa kuwa na watumiaji zaidi ya bilioni tatu duniani kote.
Sasa, imezoeleka kuona...
MIAMI, Marekani
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zikiendelea, moja ya vipaumbele katika nchi wenyeji - Marekani, Mexico na Canada...