Ads: info@gazetini.co.tz |
23.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Casillas hataki hata kumsikia huyo Mourinho

MADRID, Hispania KIPA wa zamani wa Real Madrid, Iker Casillas, ameibuka na majina ya makocha 10, ambao amesema wanastahili kuajiriwa na klabu hiyo kuliko kumpa...

Nyota waliogoma kuingia anga za Pep Guardiola

MANCHESTER, Uingereza PEP Guardiola anaondoka Manchester City, klabu aliyoinoa kwa mafanikio makubwa tangu ilipomuajiri mwaka 2016 akitokea Bayern Munich ya Bundesliga. Kwa upande mwingine, miaka yake...

WHO: Unywaji wa pombe chanzo cha vifo milioni 2 kila mwaka

NEW YORK, Marekani SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limeeleza katika ripoti yake ya hivi karibuni, kwamba unywaji wa pombe husababisha vifo milioni...

Ubabe wa Oleksandr Usyk: Miaka 16 bila kupigwa ulingoni

KYIV, Ukraine RAIA huyo wa Ukraine kwa sasa ni tishio kwenye tasnia ya ngumi za uzito wa juu duniani na atapanda ulingoni kesho Mei 23,...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa...

WB: Vita vya Iran vinayaachia madeni Afrika

NEW YORK, Marekani BENKI ya Dunia (WB) imeeleza kuwa vita vya Iran vimezifanya nchi nyingi za Afrika kukopa fedha ili kukabiliana na dharura ya kiuchumi. Vita...

Mastaa wa soka ‘waliotoka’ na mabinti wa makocha wao

LONDON, Uingereza UKARIBU wa wachezaji wa soka na makocha wao hauishii uwanjani tu, bali wakati mwingine huenda mbali zaidi na kufika hadi ngazi ya familia. Lakini,...

Vilio, simanzi vyatawala msibani kwa mmiliki wa kiwanda cha XIL LI

Na mwandishi wetu, Gazetini VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha XIL LI kilichopo Mabibo Sokoni, Wilaya ya...

Wazazi wanauza watoto ili kumudu gharama za maisha

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kila watu wanne nchini Afghanistan, watatu hawamudu mahitaji ya msingi, ambayo ni chakula, mavazi na makazi, kwa mujibu wa ripoti...

Nini ufanye, uepuke wakati wa Sikukuu ya Kuchinja?

Na Hassan Mwasha MEI 27, 2026, waumini wa Dini ya Uislam wa Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar wataungana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya...

Kiti cha Katibu Mkuu UN: Nani alifaulu, nani alifeli?

NEW YORK, Marekani KATIBU Mkuu ndiyo cheo cha ngazi ya juu zaidi ndani ya Umoja wa Mataifa (UN) na kwa sasa kinashikiliwa na Waziri Mkuu...

Igor Thiago: Kutoka maisha ya msoto hadi Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza WAKATI kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, alipotangaza kikosi kitakachokwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwaka...