23.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Barcelona yawatega Bastoni, Alvarez

CATALUNYA, Hispania BARCELONA imewaweka kwenye rada zake mastaa wakubwa wawili, beki Alessandro Bastoni na mshambuliaji Julian Alvarez. Bastoni wa Inter Milan anatakiwa kwenda kuziba pengo la...

Zidane na mzigo wa kuinoa Ufaransa

PARIS, Ufaransa INAELEZWA kuwa Zinedine Zidane 'Zizou' amefikia makubaliano ya kuinoa timu ya taifa ya Ufaransa na ataanza kazi hiyo baada ya fainali za Kombe...

Unaweka pesa benki ili ‘utoboe’? Soma hapa

Na Benjamin Madaha WAFANYABIASHARA, waajiriwa na vijana wanaojitafuta - kuna ukweli mgumu kidogo kwenye elimu ya fedha ambao watu wengi hawafundishwi. Akaunti yako ya kuhifadhi...

Kama Senegal, timu hizi nazo zilipokonywa ubingwa

LONDON, Uingereza HABARI kubwa iliyotikisa soka la Afrika ni timu ya taifa ya Senegal kuvuliwa ubingwa wa fainali za AFCON zilizomalizika miezi michache iliyopita. Na badala...

Pete Hegseth: Mtaalamu wa vita anayempa jeuri Donald Trump

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA sasa ndiye 'Katibu wa Vita', jina ambalo amepewa na Rais Donald Trump. Kiuhalisia, Pete Hegseth ni Katibu wa Wizara ya...

AGENDA yahimiza mapinduzi ya uhifadhi misitu Tanzania, uharibifu wazidi…

Na mwandishi wetu, Gazetini MACHI 21 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Misitu Duniani kwa lengo la kuhamasisha jamii kutambua mchango mkubwa wa misitu katika...

Mambo hayaendi! Rosenior kazi anayo pale Stamford Bridge

LONDON, Uingereza KICHAPO cha mabao 3-0 kutoka kwa Everton kimeendeleza wimbi baya linaloiyumbisha Chelsea.Kabla ya kupoteza mchezo huo wa Ligi Kuu, Blues iliondoshwa kwenye michuano...

Gattuso kuirejesha Italia fainali za Kombe la Dunia?

LONDON, Uingereza TANGU walipotwaa ubingwa mwaka 2006, timu ya taifa ya Italia haijavuka hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia. Na badala yake, imeishia...

Dk. Yonazi ateta na bosi mpya TACAIDS, Tanzania yaendelea kudhibiti UKWIMWI

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, amekutana na kufanya...

WHO yathibitisha shambulio jingine la hospitali Sudan, watu 64 wafariki

DARFUR, Sudan SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limethibitisha kutokea kwa shambulio jingine dhidi ya huduma za afya nchini Sudan, safari hii likilenga Hospitali ya Kufundishia...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-6

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale SHERIA ya Tanzania haitambui kila kifo cha mtoto tumboni kama murder. Ili kosa la murder lisimame, lazima marehemu awe ametambulika...

AU yaweka maji na usafi wa mazingira kipaumbele ajenda 2026 Afrika

Na mwandihi wetu, Gazetini  WAKATI Dunia leo Machi 22, 2026 ikiadhimisha Siku ya Maji, Muungano wa Afrika (AU) umeweka wazi dhamira yake ya kuhamisha mjadala...