23.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Polepole ajiuzulu Ubalozi

Na Mwandishi Wetu Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ubalozi na nafasi nyingine za uongozi wa Umma kuanzia...

Arsenal wamponza straika Ureno

LISBON, UrenoKITENDO cha Viktor Gyokeres kushindwa kuungana na wenzake mazoezini akishinikiza kujiunga na Arsenal, kimewatibua mabosi wa klabu yake ya Sporting Lisbon.Taarifa zinaeleza kuwa...

Messi gari limewaka huko Marekani

MIAMI, MarekaniMSHAMBULIAJI wa Inter Miami, Lionel Messi, ameendeleza makali yake ya kufunga mabao mawili katika kila mchezo, safari hii akiwatungua Nashville.Messi anakuwa mchezaji wa...

Ruto atafaulu mtihani wa ‘Gen Z’?

NAIROBI, KenyaUPEPO unavuma vibaya kwa William Ruto, huku sehemu kubwa ya wakosoaji wake wakiwa ni vijana wa kizazi kipya, wakifahamika pia kwa jina la...

Utafiti: Ugumu wa maisha chanzo utoaji mimba Uingereza

LONDON, EnglandMATUKIO ya utoaji wa mimba yameripotiwa kuongezeka kwa kasi nchini Uingereza, huku kupanda kwa gharama za maisha kukitajwa kuwa moja ya sababu.Utoaji wa...

Haja ndogo isizidi sekunde 21 tu

LONDON, EnglandUMEWAHI kujiuliza huwa unatumia muda gani kumaliza haja ndogo unapoingia maliwato? Sasa, swali hilo lina maana kubwa mno kwa afya yako.Kwa mujibu wa...

Kuna nini Trump na viongozi Afrika?

WASHINGTON DC, Marekani JUMATANO ya wiki hii, Rais wa Marekani, Donald Trump, alifungua Mkutano wa siku tatu na viongozi wa nchi tano za Afrika mjini...

Van Gaal: Nimepona saratani, narudi mzigoni

AMSTERDAM, Uholanzi KOCHA mkongwe, Louis van Gaal, amesema amepona ugonjwa wa saratani na sasa yuko fiti kurejea katika majukumu yake. Miaka mitatu iliyopita, Mholanzi huyo mwenye...

Dembele; ndoa ilivyookoa kipaji kilichozikwa na majeraha, kamari

PARIS, Ufaransa KWA rahisi, maisha yake ndani ya klabu ya Barcelona yalitawaliwa na vurugu nyingi lugha za ndani na nje ya uwanja. Baada ya kucheza...

Dili 15 zilizobamba usajili kiangazi Ulaya

LONDON, England HARAKATI za usajili wa majira ya kiangazi zinaendelea barani Ulaya, huku macho yakielekezwa zaidi kwa klabu za England, Bundesliga, La Liga, Ligue 1...

Chalamila atoa wito wa amani kwa viongozi wa dini

Na Imani Nathaniel, Gazetini Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa wito kwa viongozi wa dini kutumia lugha ya staha na kuhubiri...

Mkongwe wa vita afariki akiwa na miaka 110

LONDON, England MWANAJESHI pekee wa Uingereza aliyekuwa hai tangu alipopigana Vita ya Pili ya Dunia, Donald Rose, amefariki jana akiwa na umri wa miaka 110. Rose...