23.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Pioli atimka Saudia, arudi Italia

ROMA, Italia BAADA ya msimu mmoja wa kuinoa Al-Nassr, kocha raia wa Italia, Stefano Pioli, ameondoka klabuni hapo.Pioli mwenye umri wa miaka 59, amerejea nyumbani,...

Halopesa yatoa mafunzo ya utafiti wa masoko kwa wanafunzi wa chuo Zanzibar

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Halotel kupitia huduma ya HaloPesa ikishirikiana na timu ya Halotel Business Zanzibar, wamefanya mafunzo ya utafiti wa masoko na kutoa...

Henderson njiani kurudi England

LONDON, England WAKALI wa London, Brentford, wako mbioni kukamilisha usajili wa kiungo wa zamani wa Liverpool, Jordan Henderson. Henderson mwenye umri wa miaka 35, ni mchezaji...

ICC yainyooshea kidole Sudan

DUBAI, UAEMAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imelaani kinachoendelea mjini Darfur, Sudan, ikieleza kuwa kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.Tangu...

PSG v CHELSEA; Fainali ya historia Kombe la Dunia

NEW JERSEY, Marekani JUMAPILI ya wiki hii, PSG watashuka dimbani kumenyana na Chelsea katika fainali ya kukata na shoka ya Kombe la Dunia kwa ngazi...

Ruto: Waandamanaji wapigwe risasi za miguu

NAIROBI, KenyaWAKATI maandamano ya raia wanaoipinga Serikali yakiendelea, Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza waandamanaji wapigwe risasi za miguu.Agizo hilo linakuja wakati huu jumuhiya...

Urusi yaishambulia Kyiv, yaua wawili

KYIV, UkraineWATU wawili wameripotiwa kufariki katika shambulizi la Urusi mjini Kyiv, Ukraine.Ndege isiyo na rubani iliishambulia Kyiv, ikielezwa pia watu 13 wamejeruhiwa katika tukio...

Marekani yambana mbavu mjumbe UN

NEW YORK, MarekaniSERIKALI ya Marekani chini ya Rais Donald Trump imemwekea vikazo mjumbe wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UN),...

Man United macho kwa Tchouameni

MANCHESTER, EnglandKLABU ya Manchester United imeingia mazima katika mbio za kumsajili kiungo wa Real Madrid, Aurelien Tchouameni.Kwa taarifa zilizopo, Man United imeshatenga dau nono...

Waarabu waivamia Arsenal kwa Sesko

LONDON, EnglandMATAJIRI wa Al Hilal ya Saudi Arabia nao wamejitosa kuiwania saini ya mshambuliaji wa RB Leipzig, Benjamin Sesko.Aidha, hiyo inaweza kuwa habari mbaya...

Aishi Manula rasmi arejea Azam

Klabu ya Azam imemrejesha golikipa wao wa zamani, Aishi Manula akitokea Simba na kumpa mkataba wa miaka mitatu. Manula ambaye pia ni kipa wa timu...

Fountain Gate FC yabaki Ligi Kuu

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Fountain Gate  imefanikiwa kusalia kwenye Ligi Kuu  Tanzania Bara kwa msimu ujao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya...