28.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Shetta ashinda kura za maoni Mchikichini

Na Mwandishi Wetu Msanii Nurdin Bilal maarufu Shetta, ameshinda kwenye kura za maoni ya kugombea udiwani Kata ya Mchikichini, Ilala, Dar es Salaam kupitia CCM. Katika...

Urio awabwaga wanne Kunduchi aongoza kura za maoni

Na Mwandishi Wetu Mgombea wa udiwani Kata ya Kunduchi, jijini Dar es Salaam anayetetea nafasi yake Michael Urio ameibuka kinara katika kura za maoni kwa...

Dogo Janja aibuka kidedea kura za maoni ya udiwani Ngarenaro

Na Mwandishi Wetu Msanii wa Bongofleva, Abdulaziz Abubakar ' Dogo Janja', ameongoza katika kura za maoni ya udiwani katika Kata Ngarenaro, mkoani Arusha kupitia Chama...

Diaz na mastaa waliotimka EPL kwa dau nono

LONDON, UingerezaHIVI karibuni, Liverpool walivuna kitita cha Pauni milioni 65.5 kwa kumpiga bei mshambuliaji wake, Luis Diaz, na kuingia kwenye moja ya rekodi za...

Partey aibukia La Liga

LONDON, UingerezaBAADA ya kuachana na Arsenal, kiungo wa kimataifa wa Ghana, Thomas Partey, amemalizana na Villarreal ya Ligi Kuu ya Hispania (La Liga).Partey aliyewahi...

Makocha hawa presha tupu EPL

LONDON, UingerezaNI takribani wiki mbili pekee zimebaki kabla ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL) kuanza.Msimu uliopita, makocha nane walifungashiwa virago, wa...

Uingereza yaporomoka viwango vya unywaji pombe duniani

LONDON, Uingereza KIWANGO cha unywaji wa pombe nchini Uingereza kimepanda kwa asilimia 10 kwa kipindi cha hivi karibuni. Ulevi ni tatizo kubwa nchini humo, ambapo...

ADF tishio jipya la ugaidi Afrika Mashariki?

KINSHASA, DRCWIKI iliyopita, watu wenye silaha walioripotiwa kuwa ni wapiganaji wa Kundi la The Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kanisa mjini Komanda, Jamhuri ya...

Kutembea haraka hupunguza vifo vya mapema

LONDON, Uingereza KUTEMBEA haraka, walau kwa dakika 15 tu kila siku, huimarisha afya ya moyo na kuepusha vifo vya mapema kwa asilimia 19, utafiti umebaini....

Utafiti: Hewa chafu husababisha kupoteza kumbukumbu

LONDON, Uingereza HEWA chafu ni moja ya sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa ubongo wako kutunza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya wa Chuo Kikuu cha...

Maswali 6 yanayosubiri majibu EPL 2025-26

LONDON, England MSIMU ujao wa 2025-26 uko njiani, ukitarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi ujao. Ni Ligi Kuu ya England (EPL), michuano ya soka inayotajwa kufuatiliwa...

Victor Gyokeres kuibeba Arsenal msimu ujao?

LONDON, England KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, aliingia sokoni majira haya ya kiangazi akihitaji straika. Msako wake umeinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden,...