LOS ANGELES, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, atakutana na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, mwishoni mwa wiki hii. Mkutano huo utafanyika Ijumaa ya Agosti...
MANCHESTER, UingerezaBAADA ya tetesi za muda mrefu, Manchester United imevunja kibubu na kuchomoa kitita cha Pauni milioni 74 kumsajili mpachikaji mabao wa kimataifa wa...
Na Mwandishi Wetu
Mwenyekiti wa Tume Huru yaTaifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele, amemkakabidhi Georges Busungu. mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Takwimu kutoka Global Web Index (GWI) zinaonyesha kuwa miongoni mwa watumiaji wa intaneti duniani wenye umri wa miaka 16 na kuendelea,...
MUNICH, UjerumaniMSHAMBULIAJI mpya wa Liverpool, Florian Wirtz, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ujerumani.Wirtz aliyetua Anfield kwa ada ya Pauni milioni 116,...
Na Nora Damian, Gazetini
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeendesha mafunzo maalum kwa Watetezi wa Haki za Watoto, yakilenga kuwaongezea ujuzi...
N'DJAMEA, ChadALIYEWAHI kuwa Waziri Mkuu wa Chad, Succes Masra, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani akishutumiwa kwa kuchochea ubaguzi wa rangi dhidi ya raia...
LOS ANGELES, MarekaniBARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) limeitaka Israel kuacha mara moja mpango wake wa mpya wa 'kuuteka' Mji wa Gaza.Kauli...
NAIROBI, Kenya
WATU 25 waliokuwa wakirejea kutoka msibani wamefariki baada ya basi walilokuwa wamepanda kupata ajali huko Magharibi mwa Kenya. Kwa mujibu wa taarifa ya...
TOKYO, JapanBONDIA raia wa Japan, Hiromasa Urakawa, amepoteza maisha ikiwa ni wiki moja tu tangu alipopoteza pambano lake kwa 'KO' mbele ya Yoji Saito.Pambano...
PARIS, UfaransaKWA misimu minne mfululizo, Rasheedat Ajibade amekuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya Atletico Madrid na sasa PSG wanajaribu kuinasa saini ya...