28.9 C
Dar es Salaam

World

Ajali ya gari yaua wahamiaji Afghanistan

KABUL, Afghanistan WAHAMIAJI 37, wakiwamo watoto 17, waliokuwa wakirejeshwa kutoka Iran wamefariki baada ya gari lao kupata ajali Magharibi mwa Afghanistan.Ofisi Habari wa Taliban, Ahmadullah...

Thailand mbioni mapinduzi ya kijeshi?

BANGKOK, ThailandMACHAFUKO yanayoendelea katika mpaka wake na Cambodia yameanza kulipa nafasi kubwa jeshi la Thailand kuipindua Serikali iliyoko madarakani katika Taifa hilo la barani...

Bundesliga nyuma ya EPL, La Liga

MUNICH, UjerumaniUSAJILI wa majira haya ya kiangazi umeshuhudia baadhi ya wachezaji wenye majina makubwa wakiipa kisogo Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga).Florian Wirtz aliondoka Bayern...

Nini chanzo ajali za ndege Afrika?

Na mwandishi wetu, GazetiniMIEZI ya hivi karibuni imeshuhudia ajali za ndege zikitisa na kuacha majonzi barani Afrika, ikitosha kutolewa mfano katika mataifa ya Ghana...

Mafuriko yaua watu 200 Pakistan

ISLAMABAD, PakistanWATU takribani 200 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya mvua kubwa iliyosababisha mafuriko mjini Kashmir, Pakistan.Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, likiwamo Shirika la...

Jeshi Mali na jaribio la kupindua Serikali

BAMAKO, Mali HALI ya taharuki imeibuka nchini Mali baada ya wanajeshi takarbani 50 kushikiliwa kwa madai ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali inayoliongoza Taifa hilo...

ADF tishio jipya la ugaidi Afrika Mashariki?

KINSHASA, DRCWIKI iliyopita, watu wenye silaha walioripotiwa kuwa ni wapiganaji wa Kundi la The Allied Democratic Forces (ADF) walivamia kanisa mjini Komanda, Jamhuri ya...

Urafiki wa wanasiasa, waganga wa kienyeji

KAMPALA, Uganda ACHANA na vurugu, wizi wa kura na hata 'figisu' zingine. Kwa miaka mingi, huenda taswira nyingine kubwa zaidi ya siasa za Afrika ni...

Ndege ya Air India yaanguka na kuwaka moto

Na Mwandishi Wetu Ndege ya abiria ya Shirika la Ndege la  India ‘Air India’  iliyokuwa inatokea nchini India kwenda London nchini Uingereza imeanguka na kuwaka moto leo...

Rais wa zamani Zambia, Edgar Lungu afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Rais   wa  zamani  wa Zambia, Edgar Lungu, amefariki dunia  akiwa na umri wa miaka 65 baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Lungu amefariki akita latina matibabumaalum kwenye...

Robert Prevost atangazwa Papa mpya

Na Mwandishi Wetu Papa mpya wa Kanisa Katoliki Duniani, ametangazwa ni Kardinali Robert Francis Prevost(69), raia wa Marekani na amechagua jina la Papa Leo XIV. Amechaguliwa...

Mjumbe Maalum wa Rais Samia, Jakaya Kikwete akutana na Rais wa Burkina Faso

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha...

Recent articles

spot_img