Ads: info@gazetini.co.tz |
27 C
Dar es Salaam

World CUP

Neymar astaafu Brazil ikitolewa

MIAMI, Marekani NEYMAR ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa ya Brazil, uamuzi uliokuja baada ya kikosi hicho kutolewa kwenye fainali za Kombe...

Ufaransa, Morocco kitawaka robo fainali

MIAMI, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Paraguay. Ni...

Nchi zilizoandaa mara nyingi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeandaliwa na nchi tatu; Marekani, Mexico na Canada. Tangu michuano hiyo ianze mwaka 1930, nchi...

Ramos: Shujaa anayefunikwa na kivuli cha Ronaldo

MIAMI, Marekani AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa...

Ujerumani bado majanga Kombe la Dunia

MIAMI, Ujerumani NUKSI ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani katika fainali za Kombe la Dunia imeendelea. Safari hii, waliishia hatua ya 32 Bora. Ni...

Zilizotinga 16 Bora Kombe la Dunia

TORONTO, Canada TIMU 13 zimeshakata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 16 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Ni baada ya Uswis nayo...

Ni England au Mexico tiketi ya robo fainali?

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi...

Kocha Ubelgiji amtaja aliyeiua Senegal

MIAMI, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ubelgiji, Rudi Garcia, amesema nahodha wake, Youri Tielemans, ndiye mchezaji aliyekuwa na mchango mkubwa katika...

Weah: Yamal? Mbappe habari nyingine

TORONTO, Canada MKONGWE wa soka la Liberia, George Weah, ambaye ni Mwafrika pekee kuwahi kubeba Ballon d'Or, amesema Kylian Mbappe ni bora kuliko Lamine Yamal. Weah...

Usijichanganye! Brazil haijawahi kutoboa kwa Norway

TORONTO, Canada WIKIENDI hii, Julai 5, 2026, itashuhudiwa mechi kali ya hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia kati ya Brazil na Norway ya...

Hii ndiyo Mexico inayosumbua Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico LICHA ya kuchukuliwa poa hata kabla ya michuano ya Kombe la Dunia kuanza Juni 11, 2026, Mexico ni moja ya timu zilizofanya...

Mashabiki wafariki wakishangilia ushindi Mexico

MEXICO CITY, Mexico MASHABIKI wawili wa kandanda wamepoteza maisha nchini Mexico wakati wakishangilia ushindi wa timu yao ya Taifa. Tukio hilo limetokea baada ya Mexico kupata...

Recent articles