Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

World CUP

Mkongwe aibuka, ataka Ronaldo asisumbuliwe

LISBON, Ureno LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Bruno Alves, amewasikia wanaoponda kiwango cha Cristiano Ronaldo msimu huu wa fainali za Kombe...

Mbappe acharuka akimkingia kifua Dembele

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amesema si sahihi kwa Ousmane Dembele kukosolewa kwa kiwango alichokionesha katika...

Mganga ‘aliyemkomesha’ Ronaldo ahamia kwa Harry Kane

ACCRA, Ghana MGANGA wa kienyeji raia wa Ghana ambaye alidai kumsababishia majeraha Cristiano Ronaldo wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014, ameibuka na...

Yamal alivyoweka rekodi akimpiku Messi

CALIFORNIA, Marekani WINGA wa kimataifa wa Hispania, Lamine Yamal, amempiku Lionel Messi katika orodha ya wachezaji wenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mechi ya...

Kibarua wa viwandani aliyefunga mabao mawili kuiokoa Ujerumani

MEXICO CITY, Mexico IVORY Coast ikiwa mbele kwa bao 1-0, kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani, alimuinua kwenye benchi Deniz Undav aliyeingia...

Huyu ndiye Dk. Suzanne wa Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia historia nyingi zikiandikwa lakini moja ya hizo ni uwepo wa Dk. Suzanne Huurman. Katika...

Ujerumani nayo yatinga 32 Bora

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ujerumani imeungana na zingine mbili kutinga hatua ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia...

Neymar mzigoni kuivaa Scotland

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika...

Japan, Tunisia kufikisha mechi ya 1,000

MEXICO CITY, Mexico JAPAN na Tunisia zitavaana Jumapili ya Julai 21, 2026 katika mchezo wa Kundi F msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Upekee...

Haiti yatangulia kung’oka Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Haiti imekuwa ya kwanza kuaga msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia zinazofanyika Marekani, Mexico...

Aliyeitungua Ureno bado kidogo awe kipofu

HOUSTON, Marekani URENO ya Cristiano Ronaldo ingeweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mechi yao ya kwanza msimu huu wa Kombe la Dunia lakini...

Scholes: Ronaldo wa sasa labda acheze kipa

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes, amesema Cristiano Ronaldo hastahili kuwa kiongozi wa safu ya ushambuliaji ya timu ya soka ya...

Recent articles