MIAMI, Marekani
NEYMAR ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa ya Brazil, uamuzi uliokuja baada ya kikosi hicho kutolewa kwenye fainali za Kombe...
MIAMI, Marekani
FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeandaliwa na nchi tatu; Marekani, Mexico na Canada.
Tangu michuano hiyo ianze mwaka 1930, nchi...
MIAMI, Marekani
AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa...
MIAMI, Ujerumani
NUKSI ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani katika fainali za Kombe la Dunia imeendelea. Safari hii, waliishia hatua ya 32 Bora.
Ni...
MEXICO CITY, Mexico
FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora.
Baadhi...
MIAMI, Marekani
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ubelgiji, Rudi Garcia, amesema nahodha wake, Youri Tielemans, ndiye mchezaji aliyekuwa na mchango mkubwa katika...
TORONTO, Canada
MKONGWE wa soka la Liberia, George Weah, ambaye ni Mwafrika pekee kuwahi kubeba Ballon d'Or, amesema Kylian Mbappe ni bora kuliko Lamine Yamal.
Weah...
MEXICO CITY, Mexico
MASHABIKI wawili wa kandanda wamepoteza maisha nchini Mexico wakati wakishangilia ushindi wa timu yao ya Taifa.
Tukio hilo limetokea baada ya Mexico kupata...