Ads: info@gazetini.co.tz |
29.3 C
Dar es Salaam

Usajili

Staa mpya Chelsea apewa jezi ya Hazard

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Chelsea, Morgan Rogers, atavaa jezi namba 17 msimu ujao, ambayo iliwahi kuvaliwa na lejendari wa timu hiyo, Eden Hazard. Nyota huyo...

Barca yanasa winga Ubelgiji

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imekamilisha usajili wa winga kutoka Club Brugge ya Ligi Kuu nchini Ubelgiji, Jesse Bisiwu. Aliyefichua kukamilika kwa dili hilo ni mwandishi...

Aubameyang arudi La Liga, atua Deportivo

MADRID, Hispania STRAIKA wa zamani wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang, amejiunga na Deportivo La Coruna ya Ligi Kuu ya Hispania (La Liga). Nyota huyo raia wa Gabon...

Wakala afunguka Salah kutimkia Uturuki

MERSEYSIDE, Uingereza WAKALA wa Mohamed Salah, Ramy Abbas Issa, ameibuka na kukanusha taarifa zinazodai kuwa mshambuliaji huyo amekubali kujiunga na Besiktas ya Ligi Kuu nchini...

Andrey Santos; Jembe jipya ndani ya Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza USAJILI wake umekamilika baada ya Manchester United kuipa Chelsea kitita cha Pauni milioni 48. Ni kiungo wa Kibrazil, Andrey Santos. Man United imeachana na...

Chelsea kuibomoa Madrid, kuchukua beki

LONDON, Uingereza KOCHA mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, ameitaka klabu hiyo kumsajili beki wa klabu yake ya zamani ya Real Madrid, Alvaro Carreras. Alonso anataka mlinzi...

Winga wa Ubelgiji aisikiliza Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa pembeni wa Club Brugge ya Ubelgiji, Christos Tzolis, anataka kujiunga na Arsenal kupitia usajili wa majira haya ya kiangazi. Mwandishi wa habari...

Kane, Alvarez nani kuziba pengo la Lewandowski?

CATALUNYA, Barcelona BADO mabosi wa Barcelona wanaumiza vichwa kujua ni straika yupi sahihi kati ya Julian Alvarez wa Atletico Madrid na Harry Kane wa Bayern...

Mahrez saini yake dili Serie A

MILAN, Italia JINA la winga wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez, limeingia kwenye rada za mabosi wa klabu kubwa za Ligi Kuu ya Italia (Serie...

Xhaka kutua Chelsea, Alonso abariki usajili wake

LONDON, Uingereza NAHODHA wa Sunderland na timu ya soka ya Taifa ya Uswis, Granit Xhaka, huenda akajiunga na Chelsea kupitia dirisha kubwa ma majira haya...

Aziz Ki, Okello, Pacome, Dube: Kombinesheni ya ‘asali na maziwa’ Yanga?

Na mwandishi wetu, Gazetini TETESI zimezidi kushika kasi juu ya uwezekano wa kiungo wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephanie Aziz Ki, kurudi Yanga kwa ajili...

Chiesa aambiwa aondoke Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool imemwambia winga wake, Federico Chiesa, kwamba anaweza kuondoka majira haya ya kiangazi na kutafuta timu nyingine. 2025-26 ulikuwa msimu mbaya kwa...

Recent articles