LONDON, Uingereza
DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...
LONDON, Uingereza
DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imethibitisha jezi namba 17 kuwa itavaliwa na nyota wao mpya kutoka Chelsea, Enzo Fernandes.
Jezi namba 17 katika klabu ya...
LONDON, Uingereza
NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amesema usajili bora wa kipindi hiki cha kiangazi ni ule wa winga mpya wa Arsenal,...
MERSEYSIDE, Uingereza
HATIMAYE mshambuliaji raia wa Ufaransa, Bradley Barcola, amejiunga na Liverpool akitokea PSG, usajili huo ukigharimu kitita cha Pauni milioni 123.
PSG walitaka Pauni milioni...
LONDON, Uingereza
STRAIKA Ollie Watkins ameeleza masikitiko yake ya kuondoka klabuni hapo, akisema hakupenda kuachana nayo kwa staili hiyo.
Watkins (30), amejiunga na Al-Hilal ya Ligi...
LONDON, Uingereza
TOTTENHAM imepoteza mechi zote mbili ilizocheza msimu huu wa Ligi Kuu ya England. Ilifungua pazia kwa kufungwa mabao 3-0 na Brighton, kabla ya...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Tottenham, Roberto De Zerbi, amefichua kuwa mastaa wake watatu kikosini wameomba kuondoka klabuni hapo.
Zerbi raia wa Italia, ameenda mbali zaidi na...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameingia kwenye mazungumzo ya kumsajili staa wa Lille ya Ufaransa, Matias Fernandez-Pardo.
Licha ya Arsenal kuitaka saini yake, pia...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Sunderland imeanza kuiwinda saini ya winga wa kimataifa wa England, Jack Grealish, kwa mujibu wa mtandao wa Football Insider.
'Black Cats' wanaitaka...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kuinasa saini ya beki wa Chelsea, Tosin Adarabioyo.
Katika dirisha kubwa hili la usajili wa...