Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Usajili

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – ASTON VILLA

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – ARSENAL

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

City yampa Enzo jezi ya De Bruyne

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imethibitisha jezi namba 17 kuwa itavaliwa na nyota wao mpya kutoka Chelsea, Enzo Fernandes. Jezi namba 17 katika klabu ya...

Ferdinand ataja usajili bora England

LONDON, Uingereza NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amesema usajili bora wa kipindi hiki cha kiangazi ni ule wa winga mpya wa Arsenal,...

Liverpool yakamilisha usajili wa Barcola

MERSEYSIDE, Uingereza HATIMAYE mshambuliaji raia wa Ufaransa, Bradley Barcola, amejiunga na Liverpool akitokea PSG, usajili huo ukigharimu kitita cha Pauni milioni 123. PSG walitaka Pauni milioni...

Watkins: Sikutaka kuondoka Villa

LONDON, Uingereza STRAIKA Ollie Watkins ameeleza masikitiko yake ya kuondoka klabuni hapo, akisema hakupenda kuachana nayo kwa staili hiyo. Watkins (30), amejiunga na Al-Hilal ya Ligi...

Usajili wa bei mbaya unavyokosa matokeo Tottenham

LONDON, Uingereza TOTTENHAM imepoteza mechi zote mbili ilizocheza msimu huu wa Ligi Kuu ya England. Ilifungua pazia kwa kufungwa mabao 3-0 na Brighton, kabla ya...

Watatu waomba kuondoka Tottenham

LONDON, Uingereza KOCHA wa Tottenham, Roberto De Zerbi, amefichua kuwa mastaa wake watatu kikosini wameomba kuondoka klabuni hapo. Zerbi raia wa Italia, ameenda mbali zaidi na...

Huyu kuziba pengo la Alvarez pale Arsenal

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameingia kwenye mazungumzo ya kumsajili staa wa Lille ya Ufaransa, Matias Fernandez-Pardo. Licha ya Arsenal kuitaka saini yake, pia...

Grealish atakiwa Sunderland

LONDON, Uingereza KLABU ya Sunderland imeanza kuiwinda saini ya winga wa kimataifa wa England, Jack Grealish, kwa mujibu wa mtandao wa Football Insider. 'Black Cats' wanaitaka...

Man United njia nyeupe kwa Adarabioyo

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kuinasa saini ya beki wa Chelsea, Tosin Adarabioyo. Katika dirisha kubwa hili la usajili wa...

Usajili unaoakisi uchumi wa klabu au mfuko wa tajiri?

Na Hassan Mwasha NIMEFUATILIA ubize wa vigogo wa soka la Tanzania, Yanga na Simba, katika soko la usajili wa dirisha kubwa kuelekea msimu mpya wa...

Recent articles