Ads: info@gazetini.co.tz |
27.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Kwanini Yanga wamemfungashia virago Folz?

Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA sasa benchi la ufundi la Yanga lipo chini ya kocha msaidizi raia wa Malawi, Patrick Mabedi, ambaye aliajiriwa hivi karibuni."Uongozi...

Kane hashikiki, afikisha mabao 400

MUNICH, UjerumaniSTRAIKA wa Bayern Munich na timu ya taifa ya England, Harry Kane, amefikisha mabao 400 katika soka la ngazi ya klabu.Kane amefika hapo...

Forest wamtimua Postecoglou, aweka rekodi

LONDON, UingerezaKLABU ya Nottingham Forest imemfuta kazi kocha wake raia wa Austria, Ange Postecoglou, akiwa amehudumu kwenye benchi la ufundi kwa siku 39 pekee.Postecoglou...

Mambo magumu, Yanga yatimua kocha usiku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz.Uamuzi huo umekuja saa chache baada ya kupoteza mchezo kwa...

Arteta ampa mbinu mpya Gyokeres

LONDON, UingerezaMKUU wa benchi la ufundi la Arsenal, Mikel Arteta, amemtaka Viktor Gyokeres kuachana na presha za nje ya uwanja na badala yake kuelekeza...

Benitez akaribia kuajiriwa Ugiriki

ATHENS, UgirikiALIYEWEHI kuwa kocha wa Liverpool, Rafa Benitez, anakaribia kutangazwa kuwa mkuu mpya wa benchi la ufundi la klabu ya Panathinaikos ya Ugiriki.Benitez, raia...

Mancini kocha mpya Man United

MANCHESTER, UingerezaKOCHA mkongwe raia wa Italia, Roberto Mancini, amewaambia watu wake wa karibu kuwa huenda akakabidhiwa mikoba ya kuinoa Manchester United.Kwa sasa, kocha raia...

Maresca athibitisha Palmer nje wiki sita

LONDON, UingerezaMKUU wa benchi la ufundi la Chelsea, Enzo Maresca, ameweka wazi kuwa atamkosa kwa wiki sita mshambuliaji wake tishio, Cole Palmer.Palmer, raia wa...

Guardiola asema hajui kuhusu Rodri

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amekiri kuwa hafahamu siku atakayorudi uwanjani kiungo wake raia wa Hispania, Rodri.Rodri (29), atakosekana katika mchezo wa...

Afrika na safari ya Kombe la Dunia 2026 (9) – Senegal

Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....

Aliyetaka kuinunua Everton akwaa kesi ya ufisadi

LONDON, UingerezaMMOJA ya wamiliki wa kampuni ya uwekezaji ya 777 Partners, ambayo ilijaribu bila mafanikio kuinunua klabu ya Everton, anakabiliwa na mashitaka ya ufisadi.Josh...

Afrika na safari ya Kombe la Dunia 2026 (8) – Ivory Coast

Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....

Recent articles