Ads: info@gazetini.co.tz |
22.9 C
Dar es Salaam

Makala

Mastaa EPL watakaoibukia AFCON 2025

CAIRO, Misri MSIMU huu wa fainali za Mataifa Afrika (AFCON) utaanza Desemba 21, mwaka huu, na kumalizika Januari 18, mwakani. Kama ilivyo kawaida, fainali hizo huzipa...

Mastaa wa muziki Nigeria tishio pesa za shoo

LAGOS, Nigeria KAMA ilivyo duniani kote, tasnia ya burudani, likiwamo soko la muziki, imeendelea kuwa chanzo kikubwa cha utajiri kwa mastaa nchini Nigeria. Kwa wanamuziki,...

Utafiti| Mataifa yanayoongoza kwa watu wake kuaminiana

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka 2022 na kuchapishwa mwaka 2024, ukionesha kuwa Denmark, Norway, Finland, Sweden na Iceland ndiyo...

Mataifa yanayoongoza kwa watu wake kuwa ‘singo’

Na mwandishi wetu, GazetiniJAPAN inatajwa na tafiti mbalimbali kuwa asilimia 40 ya raia wake hawako kwenye mahusiano ya kimapenzi. Kwamba si tu hawako kwenye...

Wezi wanavyowanyima raha wanasoka Ulaya

LONDON, UingerezaTUKIO la Raheem Sterling kuvamiwa na majambazi akiwa na familia yake nyumbani limetikisa vyombo vya habari barani Ulaya, ikiwa ni mara ya pili...

Mastaa wanaopatikana bure soko la usajili Ulaya

LONDON, UingerezaLICHA ya kwamba dirisha dogo halitafunguliwa hadi Januari, mwakani, kwa sasa klabu za soka barani Ulaya zinaruhusiwa kusajili wachezaji huru (waliomaliza mikataba).Makala haya...

Osimhen anavyoibeba Nigeria kufuzu Kombe la Dunia 2026

LAGOS, NigeriaTIMU ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles' imeingia fainali ya hatua ya mtoano (playoffs) ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani...

United imejipata au bado inajitafuta?

MANCHESTER, UingerezaMANCHESTER United chini ya kocha Ruben Amorim iliuanza vibaya msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).Kati ya mechi sita za mwanzo, ilishinda...

Belouizdad v Singida BS… Ni vita ya makocha wa Yanga tu

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuandika historia ya kufika makundi, sasa Singida Black Stars inawinda rekodi nyingine ya kushinda mechi kwenye hatua hiyo ya...

Nini kinaikwamisha Liverpool, itatetea ubingwa EPL?

MERSEYSIDE, UingerezaLIVERPOOL iko taabani. Vipigo vitano katika mechi 11 walizocheza hivi karibuni. Kwa mujibu wa kocha wake, Arne Slot, bado ni mapema kuitoa Liverpool...

Wanasoka hawa hawajastaafu, wanapiga pesa Qatar

DOHA, QatarLIGI Kuu ya Qatar kwa sasa ni nyumbani kwa mastaa wengi wa soka waliowahi kutamba katika soka la Ulaya wakiwa na klabu mbalimbali,...

Morice Abraham; Kivuli cha ‘Miquissone’ kinachoipa jeuri Simba

Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA siku za hivi karibuni, jina la Morice Abraham limekuwa kwenye mijadala ya soka hapa nchini na kwa sasa ni kipenzi...

Recent articles