Na Mwandishi Wetu,Gazetini
Watu saba wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa kidato cha sita wa shule ya Sekondari Songe, Musoma baada ya gari Toyota Succeed walilokuwa wakisafiria...
-Wakiwa viongozi wa JET, sasa wanaiwakilisha Tanzania katika nafasi za juu za Umoja wa Mataifa chini ya mkataba wa UNCCD.
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tanzania imeendelea...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka Balozi wa Tanzania nchini Japan, Anderson Mutatembwa kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa Group Limited, imetoa ufafanuzi juu ya tuhuma zilizotolewa hivi karibuni kuhusu miamala iliyofanywa na kampuni zetu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MALENGO ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ya kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kitovu (hub) cha kuhudumia...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
TANZANIA inakabiliwa na ongezeko kubwa la upotevu wa misitu, hali inayochochea ukame, kukauka kwa vyanzo vya maji na kuharakisha mabadiliko ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam
BENKI ya NCBA imezindua rasmi kampeni yake mpya ya kibiashara inayojulikana kama “Numbers That Matter- Maisha Ni Hesabu”, ikiwa...
Na Patricia Kimelemeta, Gazetini
DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
HAKAMATIKI-ndio msamiati unaoibuka kuelezea upekee wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia...
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ni miongoni mwa taasisi zilizoalikuwa kushiriki kutoa mada mbalimbali katika kikao kazi cha Makatibu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Grace Magembe, ametoa wito kwa Waganga Wafawidhi wa hospitali za rufaa nchini kuhakikisha wanazingatia mawasiliano ya...