27.2 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Ajali yaua wanafunzi kidato cha sita Rorya

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Watu saba wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa kidato cha sita wa shule ya Sekondari Songe, Musoma baada ya gari Toyota Succeed walilokuwa wakisafiria...

Chikomo, Dk. Otaru waibeba Tanzania mapambano dhidi ya ukame, mmomonyoko wa ardhi

-Wakiwa viongozi wa JET, sasa wanaiwakilisha Tanzania katika nafasi za juu za Umoja wa Mataifa chini ya mkataba wa UNCCD. Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania imeendelea...

Waziri Mkuu amtaka Balozi wa Tanzania nchini Japan kuhamasisha uwekezaji

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka Balozi wa Tanzania nchini Japan, Anderson Mutatembwa kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni...

INEC yatoa wito kwa asasi za kiraia kuelekea uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura...

Taifa Group Limited yatoa ufafanuzi kuhusu miamala ya TANCOAL na WDL

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa Group Limited, imetoa ufafanuzi juu ya tuhuma zilizotolewa hivi karibuni kuhusu miamala iliyofanywa na kampuni zetu...

Bandari ya Dar es Salaam yaanza kuhudumia meli kubwa zaidi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MALENGO ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ya kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kitovu (hub) cha kuhudumia...

Tanzania yapoteza hekta 460,000 za misitu kila mwaka, sheria zatajwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA inakabiliwa na ongezeko kubwa la upotevu wa misitu, hali inayochochea ukame, kukauka kwa vyanzo vya maji na kuharakisha mabadiliko ya...

NCBA yazindua kampeni ya “Maisha ni Hesabu” nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam BENKI ya NCBA imezindua rasmi kampeni yake mpya ya kibiashara inayojulikana kama “Numbers That Matter- Maisha Ni Hesabu”, ikiwa...

Dira ya Maendeleo 2050 yasisitiza malezi bora ya watoto nchini

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...

Hakamatiki: Samia anga’a uzinduzi wa kampeni za urais

Na Mwandishi Wetu, Gazetini HAKAMATIKI-ndio msamiati unaoibuka kuelezea upekee wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia...

𝐔𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢, 𝐮𝐭𝐚𝐥𝐢𝐢 𝐢𝐤𝐨𝐥𝐨𝐣𝐢𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐭𝐚𝐣𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐮 𝐲𝐚 𝐚𝐣𝐢𝐫𝐚 𝐧𝐜𝐡𝐢𝐧i

Na Mwandishi Wetu, Arusha Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ni miongoni mwa taasisi zilizoalikuwa kushiriki kutoa mada mbalimbali katika kikao kazi cha Makatibu...

Dk. Magembe: Mawasiliano ya awali kabla ya rufaa ni muhimu kuokoa maisha

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Grace Magembe, ametoa wito kwa Waganga Wafawidhi wa hospitali za rufaa nchini kuhakikisha wanazingatia mawasiliano ya...

Recent articles

spot_img