Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Maswali magumu hatua ya makundi Kombe la Dunia 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini HAFLA ya droo ya hatua ya makundi tayari imeshafanyika huko Marekani, ikimaanisha sasa yangeshapatikana 12 yeye timu nne kila moja. Zilizofuzu...

Kombe la Dunia 2026; Kundi A

Na mwandishi wetu, Gazetini KUMEKUCHA! Droo ya hatua ya makundi ya fainali za Kombe la Dunia ilichezeshwa mapema mwezi huu nchini Marekani. Kwa mara ya...

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa uliomuua Tagawa; dereva aliyetikisa soko la filamu

TOKYO, Japan WAPENZI wa filamu za mapigano walimfahamu zaidi kwa ukatili wake katika 'muvi' alizoigiza kama 'kubwa la maadui', ikiwamo 'Mortal Kombat'. Huyo ndiye anaitwa...

Mo’ Dewji bado yumo, Dangote aongoza tena utajiri Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...

Basi lateketea kwa moto, 40 wanusurika

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA ajali ya basi lililowaka moto, abiria 40 waliokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Malinyi, Morogoro, wamenusurika kupoteza maisha. Ni...

Wazalishaji bidhaa za batiki Dar wanufaika na mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WANAWAKE zaidi ya 200 wanaojihusisha na utengenezaji bidhaa za batiki wamenufaika na mafunzo ya usalama na afya yenye lengo la kuwajengea...

Hawa hapa ‘wanajeshi’ 28 wa Gamondi AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini BAADA ya kuita wachezaji 55 katika kikosi cha awali, kocha wa timu ya soka ya taifa 'Taifa Stars', Miguel Gamondi, amepitisha...

Abou Mayalla; Kipa wa viwango Comoro anayeitaka jezi Taifa Stars

Na Hassan Mwasha, Gazetini ABOUBAKAR Mayalla ni miongoni mwa wachezaji wa Tanzania wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi, akiamini ni suala la muda tu...

Serikali yawekeza Tril. 13.5 kuboresha umeme, yazindua mita janja

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kupitia uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Sh trilioni 13.5 katika miradi 41 ya umeme nchini,...

Simba v Azam; Dk. 90 za kisasi, hasira za CAF

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI Jumapili ya wiki hii, ambapo Simba watakuwa wenyeji wa matajiri wa Chamazi, Azam FC, ukiwa ni mwendelezo wa mechi za...

Nyuma ya pazia ugomvi wa Rais Trump, Maduro

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kumpa presha mwenzake wa Venezuela, Nicolas Maduro.Hivi karibuni, utawala wa Trump ulitangaza kuongeza mara mbili zawadi...

Alexander‑Arnold nje miezi miwili Madrid

MADRID, Hispania BEKI wa Real Madrid na timu ya taifa ya England, Trent Alexander‑Arnold, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili akiuguza majeraha ya paja. Mlinzi...

Recent articles

spot_img