Na mwandishi wetu, Gazetini
HAFLA ya droo ya hatua ya makundi tayari imeshafanyika huko Marekani, ikimaanisha sasa yangeshapatikana 12 yeye timu nne kila moja. Zilizofuzu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUMEKUCHA! Droo ya hatua ya makundi ya fainali za Kombe la Dunia ilichezeshwa mapema mwezi huu nchini Marekani. Kwa mara ya...
TOKYO, Japan
WAPENZI wa filamu za mapigano walimfahamu zaidi kwa ukatili wake katika 'muvi' alizoigiza kama 'kubwa la maadui', ikiwamo 'Mortal Kombat'. Huyo ndiye anaitwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA ajali ya basi lililowaka moto, abiria 40 waliokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Malinyi, Morogoro, wamenusurika kupoteza maisha. Ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANAWAKE zaidi ya 200 wanaojihusisha na utengenezaji bidhaa za batiki wamenufaika na mafunzo ya usalama na afya yenye lengo la kuwajengea...
Na mwandishi wetu, Gazetini
BAADA ya kuita wachezaji 55 katika kikosi cha awali, kocha wa timu ya soka ya taifa 'Taifa Stars', Miguel Gamondi, amepitisha...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
ABOUBAKAR Mayalla ni miongoni mwa wachezaji wa Tanzania wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi, akiamini ni suala la muda tu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SERIKALI imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kupitia uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Sh trilioni 13.5 katika miradi 41 ya umeme nchini,...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kumpa presha mwenzake wa Venezuela, Nicolas Maduro.Hivi karibuni, utawala wa Trump ulitangaza kuongeza mara mbili zawadi...
MADRID, Hispania
BEKI wa Real Madrid na timu ya taifa ya England, Trent Alexander‑Arnold, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili akiuguza majeraha ya paja.
Mlinzi...