23.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Tanzania, Namibia zaahidi kukuza ushirikiano wa kiuchumi, nishati na biashara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, hususan...

Rais Samia: Hatutatoa nafasi kwa wanaotaka kuvuruga amani ya Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

Wazazi saidieni malezi ya watoto ili kuboresha taaluma

Na Malima Lubasha, Gazetini– Serengeti Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mapinduzi iliyoko wilayani Serengeti, mkoa wa Mara, Jumanne Nyamhanga, amewataka wazazi na walezi kushirikiana...

Harmonize ajisalimisha Basata

Na Mwandishi Wetu Msanii  Harmonize  leo Mei 19,2025 amefika Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Basata, Dk. Kedmon Mapana,  kuhusu maendeleo...

Dj Davizo awashtua mashabiki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Staa wa Bongo Fleva kutoka Bunduki Music, Dj Davizo, amewashtua mashabiki punde baada ya kuachia wimbo wenye vionjo vya gospo, Prayer. Davizo,...

Rais wa Namibia kufanya ziara nchini

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dk. Netumbo Nandi-Ndaitwah anatarajiwa kuwasili nchini  kwa ziara ya Kiserikali ya siku mbili itakayoanza kesho Mei...

Askari JWTZ ashikiliwa Polisi akituhumiwa kuendesha gari akiwa amelewa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi mkoani Morogoro  limemkamata Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Daines Faustine (33) kwa tuhuma za kukutwa...

Mauzo asali ya Tanzania yapaa nje ya nchi, yangiza mabilioni

Na Mwandishi wetu Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana amesema asali ya Tanzania imeuzwa nje ya nchi kwa kiwango kikubwa kwa thamani ya ...

Serikali yaweka mikakati kudhibiti magugumaji Ziwa Victoria

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mikakati  ya kuhakikisha changamoto ya uwepo wa magugumaji katika ziwa Victoria inapatiwa ufumbuzi ili kuwezesha...

Profesa Janabi ashinda Mkurungenzi WHO Kanda ya Afrika

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Mshauri wa Rais Samia Suluhu Hassan  katika masuala ya afya, Profesa Mohammed Janabi, ameshinda...

Rais wa Finland atembelea Machinga Complex

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex...

Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa...