Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

World

Man United yamnasa Baleba

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Cameroon, Carlos Baleba baada ya kukubali ada ya Pauni milioni 70. Kwa mujibu...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (10)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tisa, tuliishia pale bi. Madina alipomuomba Yoweri Museveni amruhusu Idi Amin kurudi Uganda. Rais huyo akasema ‘Idi Amin...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (9)

Na mwandishi wetu, Gazetini “KAMA hamtaki kupigana, nitapigana peke yangu.” Ni kauli aliyoitoa Idi Amin kuwaambia wanajeshi wake waliomfuta Machi, 1997, wakimuomba ajiuzulu baada ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (8)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya saba, tuliona namna Idi Amin alivyoagiza Wakenya waliokuwa wakiishi Uganda kuuawa, akiamini nchi hiyo jirani iliwasaidia makomandoo wa...

Sakata la Julian Alvarez kutua Arsenal, Barcelona

MADRID, Hispania MWANASOKA raia wa Argentina anayecheza eneo la ushambuliaji, Julian Alvarez, alijiunga na Atletico Madrid mwaka 2024 akitokea Manchester City na usajili wake uligharimu...

Mykhailo Fedorov kumvaa Zelensky kiti cha urais?

KYIV, Ukraine UKIWA ni mwezi mmoja tangu alipojiuzulu katika nafasi yake ya Waziri wa Ulinzi, Mykhailo Fedorov ameibuka na kauli zinazoashiria kuwa amejipanga kumvaa aliyekuwa...

Chuki dhidi ya wageni; ‘Wasauzi’ wanawafundisha nini viongozi Afrika?

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIA wa kigeni zaidi ya 17,600 wameondoka Afrika Kusini tangu Aprili, 2026 kutokana na vurugu walizofanyiwa na wenyeji wao. ‘Wasauzi’ hawataki...

Utata wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu Zambia

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia kupitia Chama cha National Reconciliation Party for Unity, Brian Mundubile, ameyapinga matokeo yaliyomrejesha madarakani Rais Hakainde...

Rio: Arteta anabeba tena EPL

LONDON, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amemtabiria kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, kutwaa tena taji la Ligi Kuu ya England (EPL)...

Bibi wa miaka 101 akamatwa kwa kuuza bangi

LAGOS, Nigeria KIKONGWE mwenye umri wa miaka 101, bi. Esther Ogunmabo, anashikiliwa na polisini nchini Nigeria kwa kosa la kuuza dawa za kulevya aina ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (7)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, tuliona Israel, Uingereza na hata India zikisitisha mahusiano ya kidiplomasia na Uganda ya Idi Amin, huku Libya, Umoja...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (6)

Na mwandishi wetu, Gazetini TULIISHIA wapi? Katika sehemu ya tano ya makala haya, tuliishia tukio la Juni 25, 1976, ambapo Baraza la Ulinzi la Uganda...

Recent articles