29.5 C
Dar es Salaam

World

Soka la Ujerumani na changamoto ya ubaguzi wa rangi

MUNICH, UjerumaniLICHA ya jitihada kubwa za Chama cha Soka, klabu na baadhi ya mashabiki, bado imeonekana ni ngumu kuondosha vitendo vya ubaguzi dhidi ya...

Madrid sasa hesabu zao kwa Mainoo

MADRID, HispaniaVIGOGO wa Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), Real Madrid, wanaipigia hesabu saini ya kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo.Madrid sasa inaungana na...

Galatasaray watua England kumfuata Bissouma

LONDON, UingerezaWAKONGWE wa Ligi Kuu ya Uturuki, Galatasaray, wameripotiwa kuitaka saini ya kiungo wa ulinzi wa Tottenham, Yves Bissouma.Nyota huyo raia wa Mali hajacheza...

Vazquez aondoka La Liga, atua Leverkusen

MADRID, HispaniaWINGA wa kimataifa wa Hispania, Lucas Vazquez, ametimka Real Madrid na kujiunga na Bayer Leverkusen akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake...

Vardy kumalizia soka Serie A?

MILAN, ItaliaBAADA ya kuachwa na Leicester City, huenda Jamie Vardy akajiunga na moja ya klabu za Ligi Kuu ya Italia (Serie A).Vardy (38), kwa...

City wamalizana na Donnarumma, kumng’oa Ederson

PARIS, UfaransaMLINDA mlango wa PSG na timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, amekubaliana masilahi binafsi na klabu ya Manchester City.Donnarumma mwenye umri wa...

Zelensky: Tutapigana na Urusi hadi kieleweke

KYIV, UkraineRAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema wataendeleza vita na Urusi hadi pale majirani zao hao watakapoacha kuwakandamiza.Kauli ya Zelensky imekuja baada ya Urusi...

M23 kugomea mkataba wa amani; DRC hatarini zaidi?

Na mwandishi wetu, GazetiniHATUA ya wawakilishi wa M23 kutohudhuria mkutano wa kusaini mkataba wa amani kati yake na Serikali umeibua hofu, wengi wakiamini bado...

Waasi 35 wauawa shambulizi la anga Nigeria

LAGOS, Nigeria JESHI la Nigeria limedai kuua wapiganaji 35 wa moja ya vikundi vya waasi baada ya kufanya shambulizi la anga jirani na mpaka wa...

Nuno kutimuliwa, Rodgers kupewa mikoba Nottingham

LONDON, UingerezaKLABU ya Nottingham Forest iko mbioni kumfuta kazi kocha Nuno Espirito Santo, wakati huo pia ikimpigia hesabu Brendan Rodgers anayeinoa Celtic kwa sasa.Rodgers...

Madrid kuivaa Oviedo bila mastaa wanne

MADRID, HispaniaKUELEKEA mchezo wao wa leo wa La Liga dhidi ya Real Oviedo, kocha wa Real Madrid, Xabi Alonso, atawakosa mastaa wake wanne.Kwa mujibu...

Fernandes awindwa Saudi Arabia

MANCHESTER, UingerezaKLABU tajiri ya Al-Ittihad iko mstari wa mbele kuiwania saini ya staa wa Manchester United, Bruno Fernandes, ikipanga kumnasa wakati huu wa usajili...

Recent articles

spot_img