Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

Europe

Ronaldo afunga ndoa na Georgina

LISBON, Ureno BAADA ya miaka 10 ya uchumba, hatimaye staa wa soka, Cristiano Ronaldo amefunga ndoa na mpenzi wake, Georgina Rodriguez. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa...

Kifo cha baba kumstaafisha Messi?

MIAMI, Marekani  SUPASTAA wa soka, Lionel Messi, amesema kifo cha baba yake, Jorge, kinamfanya asijione akiendelea kucheza kwa muda mrefu. Jorge alifariki wiki iliyopita akiwa na...

Chelsea yanasa mwingine, yafikisha saba 

LONDON, Uingereza  KLABU ya Chelsea imemtambulisha beki wa pembeni kutoka Rayo Vallecano ya Hispania, Pep Chavarria. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 anakuwa mchezaji wa saba kusajiliwa na...

Ronald Araujo: Beki wa kadi nyekundu aliyetua Liver akitokea La Liga

MERSEYSIDE, Uingereza NYOTA huyo wa eneo la ulinzi ameondoka Barcelona na kujiunga na Liverpool majira haya ya kiangazi. Alikuwa nahodha wakati Wacatalunya hao wakitwaa ubingwa...

Madrid wao ni Zubimendi tu

LONDON, Uingereza KLABU ya Real Madrid haijaachana na mpango wake wa kumsajili kiungo wa Arsenal na timu ya soka ya Taifa ya Hispania, Martin Zubimendi. Licha...

Kane agombewa Barcelona, Tottenham

MUNICH, Ujerumani KLABU mbili za Barcelona na Tottenham zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya mpachikaji mabao hatari wa Bayern Munich, Harry Kane. Kane (33), anatarajiwa...

Infantino anachota mshahara wa bil. 12/-

NYON, Uswis HIVI karibuni, kiongozi huyo wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) alikuwa Colombia kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mpya wa Taifa hilo...

Mata Hari: Dansa aliyenyongwa kisa ukachero, njaa ya pesa ilimponza

Na mwandishi wetu, Gazetini ALIZALIWA Agosti 7, 1876 mjini Leeuwarden, Uholanzi. Akitokea katika familia tajiri, Mata Hari akiwa mdogo aliweza kupata kila alichokitaka kutoka kwa...

Papa Leo alia na amani Sudan

VATICAN CITY, Vatican KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amehimiza kupatikana kwa amani nchini Sudan katika hotuba yake ya jana Agosti 9, 2026,...

Shambulizi la Ukraine laua Warusi 13

MOSCOW, Urusi SHAMBULIZI la ndege isiyo na rubani linalotajwa kufanywa na Ukraine nchini Urusi limesababisha vifo vya watu 13, akiwamo mtoto. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa...

Iheanacho aanza na bao Uturuki

ANKARA, Uturuki NYOTA wa kimataifa wa Nigeria, Kelechi Iheanacho, amefunga bao katika mechi yake ya kwanza akiwa na Bursaspor ya Ligi Kuu nchini Uturuki. Katika mchezo...

Arsenal yasaka mrithi wa Vinicius Jr

LONDON, Uingereza ARSENAL imeangukia pua katika mbio zake za kuiwania saini ya Vinicius Jr baada ya Mbrazil huyo kusaini mkataba mpya wa miaka sita katika...

Recent articles