HAGUE, Uswis
ALIYEKUWA Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan, ameondoshwa kwenye nafasi hiyo.
Ni baada ya nchi wanachama kukutana jana...
LONDON, Uingereza
WAKATI anakabidhiwa mikoba ya kuinoa Aston Villa mwaka 2022, Unai Emery aliikuta timu hiyo ikiwa nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu...
KYIV, Ukraine
HIVI karibuni, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, alimfuta kazi Mkuu wa Majeshi, jenerali Oleksandr Syrskii, siku chache baada ya 'kumtumbua' Waziri wa Ulinzi,...
WASHINGTON DC, Marekani
HIVI karibuni, Katibu Mkuu wa Ikulu ya Marekani, Marco Rubio, alikuwa Manila, Ufilipino, ambako alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Wizara...
LONDON, Uingereza
WAKATI ikiwapo dhana kuwa wafanyabiashara wakubwa wamekuwa na kawaida ya kukwepa kodi za serikali katika nchi zao, kwa Uingereza imekuwa tofauti.
Kundi la mamilionea...
MUNICH, Ujerumani
BEKI wa kati wa zamani wa Arsenal, Per Mertesacker, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Chama cha Soka cha Ujerumani (DFB).
Mertesacker mwenye umri...
LONDON, Uingereza
KABLA ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026), hawakuwa na majina makubwa, lakini sasa wanawindwa na klabu kubwa...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea imetangaza usajili wa kiungo kutoka Wigan Athletic, Harrison Bettoni, ambaye amesaini mkataba wa miaka minne.
Bettoni (18), alikuwa mchezaji muhimu katika...
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI mpya wa Arsenal, Christos Tzolis, amekabidhiwa jezi namba 17 kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL) na michuano...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City inakazania mpango wa kumsajili mshambuliaji anayetaka kuondoka PSG, Ibrahim Mbaye.
Kwa sasa, taarifa zinaeleza kuwa Man City imeanza mazungumzo na...
PARIS, Ufaransa
MATAJIRI wa klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia wanapambana kuinasa saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele.
Al-Hilal wameibuka wakati huu...