Ads: info@gazetini.co.tz |
28.9 C
Dar es Salaam

Europe

Kigogo ICC ang’olewa kisa unyanyasaji wa kingono

HAGUE, Uswis ALIYEKUWA Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan, ameondoshwa kwenye nafasi hiyo. Ni baada ya nchi wanachama kukutana jana...

Emery atarudi kwa staili gani EPL 2026-27?

LONDON, Uingereza WAKATI anakabidhiwa mikoba ya kuinoa Aston Villa mwaka 2022, Unai Emery aliikuta timu hiyo ikiwa nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu...

Urusi v Ukraine: Mawaziri, wakuu wa majeshi viti havikaliki

KYIV, Ukraine HIVI karibuni, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, alimfuta kazi Mkuu wa Majeshi, jenerali Oleksandr Syrskii, siku chache baada ya 'kumtumbua' Waziri wa Ulinzi,...

Urusi inasiaidia Iran kuitandika Marekani?

WASHINGTON DC, Marekani HIVI karibuni, Katibu Mkuu wa Ikulu ya Marekani, Marco Rubio, alikuwa Manila, Ufilipino, ambako alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Wizara...

Matajiri wanapoiomba Serikali iwatoze kodi zaidi

LONDON, Uingereza WAKATI ikiwapo dhana kuwa wafanyabiashara wakubwa wamekuwa na kawaida ya kukwepa kodi za serikali katika nchi zao, kwa Uingereza imekuwa tofauti. Kundi la mamilionea...

Pirlo anukia ukocha Italia

MILAN, Italia MKONGWE wa klabu ya AC Milan, Andrea Pirlo, anakaribia kutangazwa kuwa kocha mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Italia. Kwa mujibu wa...

Mkongwe Arsenal apata ulaji Ujerumani

MUNICH, Ujerumani BEKI wa kati wa zamani wa Arsenal, Per Mertesacker, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Chama cha Soka cha Ujerumani (DFB). Mertesacker mwenye umri...

Nyota zao zimewaka kupitia Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza KABLA ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026), hawakuwa na majina makubwa, lakini sasa wanawindwa na klabu kubwa...

Chelsea yashusha kiungo, asaini minne

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imetangaza usajili wa kiungo kutoka Wigan Athletic, Harrison Bettoni, ambaye amesaini mkataba wa miaka minne. Bettoni (18), alikuwa mchezaji muhimu katika...

Nyota mpya Arsenal apewa jezi yake

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Arsenal, Christos Tzolis, amekabidhiwa jezi namba 17 kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL) na michuano...

Man City yamfungia kazi Mbaye

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City inakazania mpango wa kumsajili mshambuliaji anayetaka kuondoka PSG, Ibrahim Mbaye. Kwa sasa, taarifa zinaeleza kuwa Man City imeanza mazungumzo na...

Al-Hilal yatua kwa Dembele

PARIS, Ufaransa MATAJIRI wa klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia wanapambana kuinasa saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele. Al-Hilal wameibuka wakati huu...

Recent articles