Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

Europe

Goretzka anukia Aston Villa

LONDON, Uingereza KLABU ya Aston Villa iko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo aliyeondoka Bayern Munich raia wa Ujerumani, Leon Goretzka. Goretzka anapatikana...

Ronaldinho arudi uwanjani, atua Italia

MILAN, Italia MKONGWE wa soka la Brazil, Ronaldinho, amejiunga na klabu ya Ravenna inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu nchini Italia. Ronaldinho (46), alistaafu mwaka 2015 lakini...

Walcott: Liverpool itaisumbua Arsenal

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa zamani wa Arsenal, Theo Walcott, ameitaja Liverpool kama timu anayoona itawapa ushindani mkali katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya...

Mpinzani wa Putin aliyehukumiwa miaka 11 gerezani

MOSCOW, Urusi MWANASIASA mwandamizi wa upinzani kupitia Chama cha Yabloko, Lev Shlosberg, anafahamika kwa matamko yake ya kuikosoa Serikali ya Rais Vladimir Putin. Kati ya mambo...

Lewandowski kurudi Barcelona

CATALUNYA, Hispania IMEFICHUKA kuwa uongozi wa klabu ya Barcelona unaangalia uwezekano wa kumrejesha kundini mshambuliaji wake tishio, Robert Lewandowski. Lewandowksi aliyeondoka Barcelona majira haya ya kiangazi,...

Rooney aitaka United kumsajili staa wa Arsenal

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, ameishauri klabu hiyo kumsajili 'fasta' nyota wa Arsenal mwenye umri wa miaka 19, Myles Lewis-Skelly. Rooney anaamini ujio...

Barca yampa Rodri jezi namba 16

CATALUNYA, Hispania KIUNGO wa kimataifa wa Hispania aliyejiunga na Barcelona akitokea Manchester City, Rodri, amepewa jezi namba 16 katika kikosi cha Wacatalunya hao. Aliyefichua hayo si...

Waziri Mkuu wa Uingereza: Tutaendelea kuiunga mkono Ukraine

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Andy Burnham, amesema Serikali yake inaiunga mkono Ukraine kwa asilimia 100 na itaendelea kufanya hivyo. Kauli yake hiyo inakuja baada...

Adebayor aibuka kumtetea Salah

LONDON, Uingereza BAADA ya kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu uliopita (2025-26), Mohamed Salah amesaini mkataba wa miaka miwili na Trabzonspor ya Ligi Kuu ya Uturuki. Uamuzi...

Guardiola ameondoka na Man City yake?

MANCHESTER, Uingereza BAADA ya filimbi ya mwisho katika mchezo wao wa Ngao ya Jamii dhidi ya Arsenal jana Agosti 16, 2026, kocha Enzo Maresca alisema...

Arsenal yabeba Ngao ya Jamii ikiitandika Man City

CARDIFF, Wales WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wametwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester City. Mechi hiyo ya...

Torres apewa jezi yake PSG

PARIS, Ufaransa PSG imekamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Barcelona, Ferran Torres, na kumkabidhi jezi namba 9 klabuni hapo. Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 26, amesaini...

Recent articles