MANCHESTER, UingerezaKLABU tajiri ya Al-Ittihad iko mstari wa mbele kuiwania saini ya staa wa Manchester United, Bruno Fernandes, ikipanga kumnasa wakati huu wa usajili...
NAPOLI, ItaliaKIUNGO wa kimataifa wa Ubelgiji, Kevin de Bruyne, alifunga bao la pili, baada ya Scott McTominay kuitanguliza Napoli, mchezo wa Serie A uliomalizika...
MUNICH, UjerumaniKOCHA wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag, amepoteza mechi yake ya kwanza ya Bundesliga akiwa kocha wa Bayer Leverkusen.Leverkusen walianza vizuri...
LONDON, UingerezaSTRAIKA mpya wa Arsenal, Viktor Gyokeres, amefunga mabao mawili dhidi ya Leeds United, ikiwa ni mechi yake ya pili tu ya mashindano tangu...
MANCHESTER, UingerezaBEKI wa Manchester City, Ruben Dias, ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya jijini Manchester.Diaz, raia wa Ureno mwenye umri...
LONDON, EnglandARSENAL hawatanii. Wakati mabosi wa Tottenham wakiamini ni suala la muda kumtambulisha, Arsenal waliingilia na kumalizana na mshambuliaji wa Crystal Palace, Eberechi Eze....
ROMA, ItaliaBAADA ya kujiunga na AS Roma, winga aliyekuwa Aston Villa, Leon Bailey, anakuwa mchezaji wa kwanza raia wa Jamaica kuitumikia klabu hiyo ya...
LONDON, UingerezaKLABU za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeshatumia Pauni bilioni 2.37 katika soko la usajili wa majira haya ya kiangazi, kiasi kikubwa zaidi...
LONDON, UingerezaNI takribani wiki mbili tu zimebaki kabla ya kufungwa kwa dirisha kubwa la usajili la majira haya ya kiangazi.Hata hivyo, kwa baadhi ya...
LONDON, UingerezaMSHAMBULIAJI wa Liverpool raia wa Misri, Mohamed Salah, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Wanasoka wa Kulipwa (PFA).Salah (33),...
MUNICH, UjerumaniUSAJILI wa majira haya ya kiangazi umeshuhudia baadhi ya wachezaji wenye majina makubwa wakiipa kisogo Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga).Florian Wirtz aliondoka Bayern...