HARARE, Zimbabwe
KIUNGO wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Zambia 'Chipolopolo', Gift Kampamba, anaamini George Lwandamina anastahili kuajiriwa moja kwa moja kukinoa...
RABAT, Morocco
MSHAMBULIAJI wa kati wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Zambia, Barbra Banda, ndiye anayeongoza msimamo wa wafungaji bora msimu huu...
YOUNDE, Cameroon
HAJAONEKANA hadharani kwa miezi miwili sasa na wananchi wa Cameroon wanahoji; itachukua muda gani Rais Paul Biya kurudi nchini akitokea mjini Geneva, Uswis?
Wakati...
OUAGADOUGOU, Burkina Faso
ALIINGIA madarakani mwaka 2022 akiliongoza jeshi kuipindua Serikali iliyokuwa madarakani. Anaitwa Kapt.Ibrahim Traore, kijana mwenye umri wa miaka 38 tu.
Kwa upande mmoja,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RAIS wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Wakili Boniventure Mwambaja, amesema anaiona Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inapaswa kuwekeza zaidi katika elimu, ujuzi wa ufundi na uwezo wa kidijitali...
BUNIA, DRC
MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeathiri kwa kiasi kikubwa utaratibu wa wajawazito kwenda kliniki, kama anavyoeleza...
MONROVIA, Liberia
KATIKA mitaa ya Mji Mkuu, Monrovia, utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi si jambo linalohitaji utafiti mkubwa kulibaini, na badala yake...
2–3 September 2026 | Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds, Dar es Salaam, Tanzania
Africa's agriculture, livestock, and food processing sectors are entering a new...
LAGOS, Nigeria
KWA miaka mingi sasa, Nigeria imegubikwa na matukio ya uhalifu katika maeneo yake mengi. Watu takribani 3,000 wametekwa kwa kipindi cha mwaka mmoja...
LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, Davido, ameeleza nia yake ya kuwa mwigizaji kwenye soko la filamu nchini Nigeria (Nollywood).
Katika mahojiano yake ya hivi...
PRETORIA, Afrika Kusini
LICHA ya kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' kufika hatua ya mtoano katika fainali za Kombe la...