Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Arsenal haishikiki EPL, ‘ukuta’ waipa jeuri

LONDON, UingerezaBAADA ya mechi za wikiendi iliyopita, sasa Arsenal wako kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) wakiwa wameizidi pointi nne timu...

Miamba 16 iliyoingia makundi Shirikisho Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniJUMLA ya timu 16 zimeshaingia hatua ya makundi ya msimu huu wa 2025-26 wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kinachosubiriwa kwa...

Pedro Goncalves; Rekodi za Angola kuibeba Yanga?

Na mwandishi wetu, GazetiniKLABU ya Yanga imemtangaza Pedro Goncalves kuwa kocha wake mpya na Mreno huyo anachukua mikoba ya Romain Folz aliyetimuliwa siku chache...

Kaze afurahia Kaizer kutinga makundi CAF

JOHANNESBURG, Afrika KusiniKOCHA wa Kaizer Chiefs, Cedric Kaze, amefurahi na kuwapongeza wachezaji wake baada ya kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.Wakiwa...

Misri, Nigeria kuvaana Desemba 14

CAIRO, MisriTIMU ya soka ya taifa ya Misri itaikabili Nigeria katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na fainali za mwaka huu za Mataifa ya...

Bellingham aendeleza ubabe wake kwa Barcelona

MADRID, HispaniaKIUNGO wa Real Madrid, Jude Bellingham, amefunga bao moja na kutoa 'asisti' katika ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Real Madrid.Akifunga katika dakika...

Simba nayo yaenda hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Winfrida Mtoi Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kulazimishwa suluhu na Nsingizini kwenye Uwanja wa...

Yanga yatinga makundi CAFCL kibabe

Na Winfrida Mtoi Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikipindua meza kwa kuifunga Silver Strikers mabao 2-0 kwenye Uwanja wa...

Ni zamu ya Kane kubeba Ballon d’Or?

LONDON, UingerezaMWANZONI mwa mwaka huu, Harry Kane alitimiza ndoto yake ya miaka mingi; kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu. Ni baada ya miaka 15 ya...

Zimbabwe yatimua kocha kisa Kombe la Dunia

HARARE, ZimbabweMATOKEO mabaya katika mechi za kufuzu fainali zijazo za Kombe la Dunia yamesababisha kocha wa timu ya taifa ya Zimbabwe 'Warriors', Michael Nees,...

Osimhen afunga mbili, aandika historia Galatasaray

ISTANBUL, UturukiSTRAIKA wa kimataifa wa Nigeria, Victor Osimhen, jana alifunga mara mbili na kutoa 'asisti' katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Bodo/Glimt.Ni kwa...

Zulfa Macho atinga fainali ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo katika pambano la nusu fainali ya mashindano ya ngumi ya...

Recent articles