22.9 C
Dar es Salaam

Michezo

Mahrez atangaza kustaafu soka mwakani

ALGIERS, AlgeriaMSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Algeria, Riyad Mahrez, ameweka wazi kuwa fainali zijazo za Kombe la Dunia zitakuwa za mwisho katika maisha...

Stars ina safari ndefu, huo ndiyo ukweli

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUMAINI ya mashabiki wa soka nchini kuiona timu yao ya Taifa, Taifa Stars, ikifuzu fainali zijazo za Kombe la Dunia yameota...

Ronaldo mwanasoka wa kwanza bilionea

RIYADH, Saudi ArabiaMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameandika historia ya kuwa bilionea wa kwanza kwa upande wa wachezaji mpira wa miguu.Hiyo ni...

Neymar ana nafasi Kombe la Dunia 2026?

RIO, BrazilWAKATI Ousmane Dembele anaitwaa tuzo ya mwaka huu ya Ballon d'Or, Neymar alikuwa kitandani akisikilizia maumivu ya upasuaji. Ni majeraha yake ya tatu...

Depay aibiwa hatia ya kusafiria

AMSTERDAM, UholanziMFUNGAJI bora wa muda wote wa timu ya taifa ya Uholanzi, Memphis Depay, amekosekana kikosini kutokana na mkasa wa kuibiwa hati ya kusafiria.Kwa...

Kane akanusha kurudi England, ataka mkataba Bayern

MUNICH, UjerumaniMPACHIKAJI mabao wa Bayern Munich, Harry Kane, amesema si kweli kwamba atarudi Ligi Kuu ya England, na badala yake anataka kusaini mkataba mpya...

CAF: Maandamano ya Morocco hayazuii Afcon

CAIRO, MisriSHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limesisitiza kuwa fainali za mwaka huu za AFCON zitafanyika Morocco, licha ya hali tete ya usalama nchini humo.Maandamano...

Wakongwe wa soka matatani dawa za kulevya

HARARE, ZimbabweWAKONGWE wa Ligi Kuu ya soka ya Zimbabwe, Abas Amidu na Reuben Mhlanga, wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya...

Gerrard kupewa tena mikoba Rangers?

EDINBURGH, ScotlandHUENDA mabosi wa Rangers ya Scotland wakamrejesha kwenye benchi la ufundi kocha wao wa zamani, Steven Gerrard.Mkongwe huyo wa Liverpool mwenye umri wa...

JKT Queens kuweka kambi Uturuki, yautaka ubingwa wa CAFWCL

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Timu ya soka JKT Queens inatarajia kuweka kambi ya wiki mbili  jijini  Istanbul, Uturuki kujiandaa na  michuano ya Ligi ya...

Bayern yaivamia Liver kwa Guehi

MUNICH, Ujerumani VIGOGO wa Bundesliga, Bayern Munich, wamejitosa katika mpango wa Liverpool wa kumsajili beki wa Crystal Palace, Marc Guehi.Guehi mwenye umri wa miaka 25,...

Russell afungashiwa virago

EDINBURGH, ScotlandMABOSI wa klabu ya Rangers wamejadiliana na kukubaliana kumfuta kazi kocha wake, Russell Martin.Russell amefungashiwa virago akiwa ameliongoza benchi la ufundi katika mechi...

Recent articles

spot_img