Ads: info@gazetini.co.tz |
28.7 C
Dar es Salaam

Michezo

City yamfungia kazi kiungo huyu

MANCHESTER, EnglandMABOSI wa Manchester City wamemuweka kwenye rada zao kiungo wa kimataifa wa England, Elliot Anderson.Kwa mujibu wa taarifa, Man City inavutiwa na mchezaji...

Wirtz sasa kuondoka Liverpool kwa mkopo

MERSEYSIDE, UingerezaMSHAMBULIAJI mpya wa Liverpool, Florian Wirtz, huenda akatimka klabuni hapo ifikapo Januari, mwakani.Licha ya feha nyingi zilizotumika kumng'oa Bayern Leverkusen, Wirtz ameshindwa kung'ara...

Azam hoi, yapigwa tena Shirikisho

Na mwandishi wetu, GazetiniBAO pekee la dakika ya 57 la Nordin Amrabat liliipa Wydad Casablanca uhakika wa pointi tatu za mchezo wao wa ugenini...

Yanga haitanii, yafikisha pointi nne CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniKATIKA mchezo wa jana, JS Kabylie ikiwa nyumbani ilimazilishwa suluhu na Yanga, ukiwa ni mchezo wa Kundi B msimu huu wa...

Chelsea v Arsenal … Refa wa kadi nyingi akabidhiwa ‘shoo’

LONDON, UingerezaCHELSEA watakuwa nyumbani Stamford Bridge kesho kuwaalika Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu, ambao ni 'derby' Jiji la London.Arsenal wanaongoza Ligi wakiwa na...

Kane kuibukia wapi akiondoka Bayern?

MUNICH, UjerumaniTANGU aliyojiunga na Bayern Munich akitokea Tottenham, mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane, amefungia timu hiyo tangu Bundesliga jumla ya mabao 109...

Arsenal ya Arteta na takwimu za kibabe

LONDON, UingerezaUSHINDI wa mabao 3-1 dhidi ya Bayern Munich ni ujumbe mzito wa Arsenal kwa wapinzani wao msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Simba ni ‘do or die’, hesabu kali huko Mali

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kupoteza mechi yao ya kwanza ya hatua ya makundi msimu huu wa Ligi ya Mabingwa, Simba inahitaji ushindi wikiendi...

Sobhi afungiwa miaka minne kucheza soka

CAIRO, MisriKIUNGO wa zamani wa Stoke City na Huddersfield Town, Ramadan Sobhi, amefungiwa kucheza kandanda kwa kipindi cha miaka minne.Nyota huyo raia wa Misri...

Kocha Al Ahly aitaka VAR makundi Ligi ya Mabingwa

CAIRO, MisriKOCHA wa Al Ahly, Jess Thorup, amekosoa kitendo cha kukosekana kwa teknolojia ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) katika mechi za...

Yanga kutamba ugenini leo?

KABYLIA, AlgeriaYANGA watakuwa ugenini leo kumenyana na JS Kabylie, mchezo wa pili kwa kila timu msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika.Ni mechi ya...

‘Wazee’ watakaokipiga Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaWALIKUWEPO Kombe la Dunia mwaka 2006 na sasa wanajiandaa kushiriki fainali za mwakani wakiwa miongoni mwa wachezaji wenye umri mkubwa zaidi. Ni miaka...

Recent articles