Ads: info@gazetini.co.tz |
27.9 C
Dar es Salaam

Michezo

United wamtengea dau Gueye

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United imetenga kitita cha Pauni milioni 39 ili kufanikisha usajili wa kiungo wa Villarreal, Pape Gueye. Gueye amekuwa na msimu mzuri, ambapo amefunga...

Konate kupewa mkataba Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool iko katika hatua nzuri ya kumsainisha mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate. Konate alijiunga na Liverpool...

City yaweka rekodi ya kibabe

MANCHESTER, Uingereza PEP Guardiola na vijana wake wa Manchester City wameandika historia ya aina yake baada ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Liverpool. Erling...

Newcastle kubeba straika Madrid

MADRID, Hispania NEWCASTLE United imeingia kwenye harakati za kumsajili straika wa Real Madrid, Gonzalo Garcia. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, amecheza mechi 32 za...

Kounde kutua City, Liverpool au Chelsea?

LONDON, Uingereza KLABU za Manchester City, Liverpool na Chelsea zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya beki wa Barcelona raia wa Ufaransa, Jules Kounde. Kounde alitua Barcelona mwaka...

Folden ajipange, apewa onyo kali

LONDON, Uingereza KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amemuonya staa wake, Phil Foden, akimwambia hana uhakika wa kuitwa kwenye kikosi kitakachokwenda Kombe...

Arsenal sasa macho kwa Kofane

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameanza kuifukuzia saini ya mashambuliaji wa Bayer Leverkusen ya Bundesliga, Christian Kofane. Arsenal wako kileleni mwa msimamo wa Ligi...

Eritrea wana historia yao AFCON 2027

CAIRO, Misri BAADA ya miaka 19 kupita, timu ya soka ya taifa ya Eritrea imerejea katika hatua ya makundi ya kufuzu fainali zijazo za AFCON...

Italia ina nini? Yashindwa tena kufuzu Kombe la Dunia

MILAN, Italia MABINGWA mara nne wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Italia, imeshindwa kufuzu fainali za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Hii...

Beki huyu kuziba pengo la Maguire

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeanza kujipanga na maisha mapya bila mlinzi wake wa kati, Harry Maguire. Ripoti zinaeleza kuwa Man United imejitosa kuiwania saini...

England ya Tuchel yachafua rekodi

LONDON, Uingereza KWA mara ya kwanza katika historia, timu ya soka ya taifa ya England imepoteza mchezo mbele ya wapinzani kutoka Bara la Asia. Ni baada...

Maandalizi Ligi Kuu soka kwa watu wenye ulemavu yashika kasi, Unyanyembe waanzisha timu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa ufundi Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu wenye Ulemavu (TAFF), Shaban Msangi ameitembelea timu mpya ya soka kwa...

Recent articles