Na Mwandishi Wetu
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...
Na Mwandishi Wetu
Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amemaliza mkataba wake na timu hiyo na sasa amefungua milango ya kurejea Ligi Kuu Bara,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kikosi cha Simba kimewasili Dar es Salaam kikitokea Zanzibar kwenye mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi RS Berkane...
Na Mwandishi wetu, Mwanza
Timu nane zilizofuzu hatua ya robo fainali (Super 8) itakayochezwa kwa mtindo wa mzunguko zinatarajia kuamua bingwa wa michuano ya Ligi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA),Ramadhan Missiru amefungiwa na Kamati ya Maadili ya Soka Tanzania...
Na Mwandishi Wetu
Shirikisho wa Soka Tanzania(TFF),limesema kuanzia msimu ujao wa 2025/2026 litakuwa na mshirika wa michezo ya kubashiri(kubeti) katika mashindano yake yote.
Kwa mujibu wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema hauko yatari kupeleka shauri kwenye Kamati za Mamlaka za soka ndani kama iliyoelekezwa na Mahakama...
Na Mwandishi Wetu
Wananchi Yanga wametwaa ubingwa wa Kombe la Muungano 2025 kwa kuifunga JKU bao 1-0 katika michuano iliyomalizika leo Mei 1, 2025 visiwani...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'Mwana FA' amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa...