23 C
Dar es Salaam

Michezo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa tanki la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 1,500,000, ambalo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko Bagamoyo, Pwani, juu ya namna bora ya kuripoti migongano baina ya binadamu...

Infographic| Makundi Afrika, ni vita ya kibabe

JUMAPILI Januari 9, 2022 kivumbi cha Fainali za AFCON 2021 kiaanza kutimua vumbi nchini Cameroon. Jina ‘Afcon 2021’ limetokana na ukweli kwamba michuano hii ilitarajiwa...

Visualization| Serikali inavyovuna fedha kwenye michezo ya kubahatisha

UKWELI usio na shaka ni kwamba sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeonekana kupiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo, ukuaji huo...

‘El Classico’ in Dar| Uhondo wa Mataifa 14 ya Afrika

WATANI wa jadi, Simba na Yanga wanakutana Jumamamosi Desemba 11, 2021 katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara(NBC Primier...

Infographic| Unaipenda Yanga, unafahamu yanayokugusa Katiba Mpya?

MIEZI michache iliyopita, klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wake iliwasilisha kwa wananchama wake mabadiliko 10 yatakayofanyika katika Katiba yake. Ifahamike kuwa hiyo ni hatua...

Visual| Mkwanja wa Azam na msisimko wake TPL 2021-22

HAKUNA namna nyingine zaidi ya uwekezaji wa maana ndipo maendeleo ya mchezo wa soka yaweze kuonekana. Uwekezaji si tu huziwezesha klabu kumudu gharama za...

Infographic| Makinda wa mishahara minono England

INAFAHAMIKA kuwa ndiyo ligi maarufu na tajiri zaidi duniani, zikithibitisha hilo kwa namna klabu zake zinavyotumia fedha nyingi kwenye soko la usajili barani Ulaya.  Aidha,...

Visualization| Yaliyojiri usajili kiangazi Ulaya

HATIMAYE dirisha kubwa la usajili ambalo aghalabu hufanyika majira ya kiangazi barani Ulaya, lilifungwa hivi karibuni (Agosti 31). Mengi yalishuhudiwa, kubwa ikiwa ni Lionel...

Visualization| Mwakinyo na rekodi, ubabe wake ulingoni

JINA la Hassan Mwakinyo limeendelea kuchukua nafasi yake kwenye mchezo wa ngumi za kulipwa hapa nchini, hasa baada ya kumtwanga bondia wa kimataifa wa...

Visualization| Royal Antwerp; Mabosi wapya wa Samatta ‘wanaoteseka’ Ubelgiji

HIVI karibuni Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, alitua kwa mkopo Royal Antwerp ya Ubelgiji akitokea Fenerbahce ya Ligi Kuu nchini Uturuki. Ifahamike kuwa Samatta...

Visualization| Mlango wa kutokea unavyomuita Arteta

NI miaka takribani 17 bila ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) na Arsenal wameingia msimu huu wakiwa hawana tena matumaini ya kumaliza ndani...

Visualization| Kwanini Ronaldo ameondoka Juve, ametua Man United?

BAADA ya maneno kuwa mengi juu ya hatima yake katika klabu ya Juventus, hatimaye staa wa soka, Cristiano Ronaldo (36), akamaliza utata kwa kurejea...

Infographic| Makundi Afcon 2021, ni vita ya kibabe!

AGOSTI 17, 2021, ilichezeshwa droo ya hatua ya makundi ya fainali za Afcon 2021 zinazotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 9, mwakani. Jina ‘Afcon 2021’...

Recent articles

spot_img