27.1 C
Dar es Salaam

Michezo

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...

Mabondia wamchana ‘live’ Amos Mwamakula baada ya kushindwa kesi ya Vitasa na Azam Media

Na Mwandishi Wetu Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...

Simchimba aitaka Ligi Kuu, tatu zamfuata

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amemaliza mkataba wake na timu hiyo na sasa amefungua milango ya kurejea Ligi Kuu Bara,...

Simba yatua Dar na kauli ya kishujaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kikosi cha Simba kimewasili Dar es Salaam kikitokea Zanzibar kwenye mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi RS Berkane...

Nane kuamua ubingwa daraja la nne Nyamagana, Mabula agawa vifaa

Na Mwandishi wetu, Mwanza Timu nane zilizofuzu hatua ya robo fainali (Super 8) itakayochezwa kwa mtindo wa mzunguko zinatarajia kuamua bingwa wa michuano ya Ligi...

Kagera Sugar rasmi yashuka daraja

Na Mwandishi Wetu Kutokana na ushindi wa Pamba Jiji wa mabao 2-0 dhidi ya KenGold, umeishusha rasmi daraja Kagera Sugar ambayo kwa nafasi na pointi...

Bosi DRFA afungiwa  na TFF miaka sita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA),Ramadhan Missiru amefungiwa na Kamati ya Maadili ya Soka Tanzania...

TFF kumpata mshirika wa ‘kubeti’

Na Mwandishi Wetu Shirikisho wa Soka Tanzania(TFF),limesema kuanzia msimu ujao wa 2025/2026 litakuwa na mshirika wa michezo ya kubashiri(kubeti) katika mashindano yake yote. Kwa mujibu wa...

Bonanza la JWTZ la basketball, handball lafana Morogoro

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupitia timu teule za mpira wa kikapu na mpira wa mikono limejivunia mafanikio ya...

Mnyama anawacheki tu hapo kileleni, bado pointi 4

Na Mwandishi Wetu Simba imeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo Mei 8,2025...

Yanga yakomaa, yadai haina imani na waongoza soka la ndani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema hauko yatari kupeleka shauri kwenye Kamati za Mamlaka za soka  ndani  kama iliyoelekezwa na Mahakama...

Yanga bingwa Muungano Cup

Na Mwandishi Wetu Wananchi Yanga wametwaa ubingwa wa Kombe la Muungano 2025 kwa kuifunga JKU bao 1-0 katika michuano iliyomalizika leo Mei 1, 2025 visiwani...

Kisa Simba, mkandarasi  uwanja wa Mkapa ahesabiwa siku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'Mwana FA' amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa...

Recent articles

spot_img