25.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni hiki kinachoendelea sasa kati ya msanii Mac Voice na lebo ya Next...
Na mwandishi wetu, Gazetini NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia poa tu! Akiwa hana baba, pesa wala tumaini, hakuna aliyejua kama leo hii...

Rodrygo afunguka magumu anayopitia

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Rodrygo Goes, amepata majeraha ya goti yatakayomweka nje ya dimba kwa miezi isiyopungua 10. Rodrygo alipata majeraha hayo katika mechi dhidi...

Sakata la Bruno, Man United limekaaje?

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa Manchester United raia wa Ureno, Bruno Fernandes, hajaeleweka juu ya hatima yake klabuni hapo. Ataondoka au atabaki? Haijajulikana. Bruno amekuwa mchezaji muhimu...

Kazier Chiefs yamrudia Nwabali

PRETORIA, Afrika Kusini VIGOGO wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Kaizer Chiefs, imeanza tena kuifuatilia saini ya mlinda mlango wa timu ya taifa ya Nigeria...

Ronaldo aondoka Saudia usiku kukimbia mashambulizi ya Iran

RIYADH, Saudi Arabia SUPASTAA wa Al Nassr ya Ligi Kuu ya soka ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo, ameondoka nchini humo usiku wa manane akikimbia mashambulizi...

Kocha afukuzwa kazi timu yake ikishinda 8-0

RIO, Brazil KLABU ya Flamengo ya Brazil imetangaza kumfuta kazi kocha wake, Filipe Luis. Ni baada ya timu hiyo kushinda mabao 8-0 dhidi ya Madureira. Flamengo...

City yamtolea macho kiungo Bundesliga

MUNICH, Ujerumani MANCHESTER City imeendelea kuipambania saini ya kiungo wa Borussia Dortmund, Felix Nmecha, ambaye anatajwa kuwa na thamani ya Pauni milioni 60. Kwa mujibu wa...

Yanga, Simba zafikisha sare ya 44 ‘derby’ ya Kariakoo

Na mwandishi wetu, Gazetini ACHANA na tambo za mashabiki, sare ya kutokufungana ndiyo iliyohitimisha dakika 90 za mchezo wa 'derby' ya Kariakoo kati ya wenyeji...

Unabeti kama starehe au na wewe umeshaigeuza ajira?

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIDA kubwa tuliyonayo ngozi nyeusi ni kushindwa kutofautisha kati ya jambo la starehe na lile la lazima/muhimu. Hao ndipo tunapofeli. Huwa tunaanza...

Anguko la Leicester City kutoka ubingwa EPL hadi ‘mchangani’

LONDON, Uingereza MIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliushangaza ulimwengu wa soka walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL). Walifanya hivyo msimu wa 2015-16. Kwa sasa,...

Man City wapishana na Mbappe

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, huenda asicheze dhidi ya Manchester City katika mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitakwaana...

Aucho asimamishwa Singida Bs kwa utovu wa nidhamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KIUNGO Khalid Aucho amesimamishwa kwa miezi mitatu na klabu yake ya Singida Black Stars kwa kosa la utovu wa nidhamu na...

Yanga v Simba; ‘Kariakoo Derby’ ya maswali mengi ndani ya uwanja

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA itakuwa mwenyeji wa mchezo kuwakaribisha wapinzani wao, Simba, katika dakika 90 za mtoto, ukiwa ni mwendelezo wa Ligi Kuu Bara...

Recent articles

spot_img