29.4 C
Dar es Salaam

Michezo

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...

Bosi DRFA afungiwa  na TFF miaka sita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA),Ramadhan Missiru amefungiwa na Kamati ya Maadili ya Soka Tanzania...

TFF kumpata mshirika wa ‘kubeti’

Na Mwandishi Wetu Shirikisho wa Soka Tanzania(TFF),limesema kuanzia msimu ujao wa 2025/2026 litakuwa na mshirika wa michezo ya kubashiri(kubeti) katika mashindano yake yote. Kwa mujibu wa...

Bonanza la JWTZ la basketball, handball lafana Morogoro

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupitia timu teule za mpira wa kikapu na mpira wa mikono limejivunia mafanikio ya...

Mnyama anawacheki tu hapo kileleni, bado pointi 4

Na Mwandishi Wetu Simba imeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo Mei 8,2025...

Yanga yakomaa, yadai haina imani na waongoza soka la ndani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema hauko yatari kupeleka shauri kwenye Kamati za Mamlaka za soka  ndani  kama iliyoelekezwa na Mahakama...

Yanga bingwa Muungano Cup

Na Mwandishi Wetu Wananchi Yanga wametwaa ubingwa wa Kombe la Muungano 2025 kwa kuifunga JKU bao 1-0 katika michuano iliyomalizika leo Mei 1, 2025 visiwani...

Kisa Simba, mkandarasi  uwanja wa Mkapa ahesabiwa siku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma 'Mwana FA' amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa...

Kugombea uenyekiti TAREFA Sh 200,000

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzani(TFF), limetangaza uchaguzi mkuu wa Chama cha Soka  Mkoa wa Tabora ambapo gharama za...

Zuhura ahimiza wafanyakazi kushiriki michezo ili kujenga afya

Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, amewahimiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga...

Simba yatinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika

Na Mwandishi wetu, Gazetini Timu ya Simba imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya leo kutoka suluhu na Stellebosch katika mchezo wa...

TSA yajivunia ubora wa waogeleaji Klabu Bingwa Taifa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Mashindano ya kuogelea ya Klabu Bingwa Taifa yameanza huku uongozi wa Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), ukiwa na matumaini makubwa ya...

Dk. Mpango aweka jiwe la msingi ujenzi wa viwanja Zanzibar

*Asema serikali zote mbili zimedhamiria kufanya mageuzi sekta ya michezo Na Mwandishi Wetu, Gazetini Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango...

Recent articles

spot_img