22.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Wauza miwani wafundwa

Na Mwandishi WetuWafanyabiashara ya miwani nchini wametakiwa kizingatia sheria na kuacha kuuza kuholela  ikiwamo kuchanganya na bidhaa nyingine kwani  miwani ni tiba hivyo inaweza...

Visual| Tanzania na vita ya kuokoa mnyama huyu mashuhuri

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika maadhimisho ya Siku ya Simba Duniani, taarifa mpya zinaonyesha hali ya kutisha kwani Simba, miongoni mwa wanyama mashuhuri barani Afrika,...

Nguvu ya wanawake Uchaguzi Mkuu Malawi

LILONGWE, MalawiKWA mara ya kwanza katika historia ya siasa za Malawi, wagombea wengi wa kiti cha urais wamewateua wanawake katika nafasi ya mgombea mweza...

Nini kifanyike kuiokoa Sudan?

DARFUR, SudanWATU takribani 300,000 wanakabiliwa na ukosefu wa chakula ukiwa ni mwaka mmoja tu wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea nchini Sudan. Hali...

Nigeria na janga la hali ya usalama

LAGOS, NigeriaKATIKA baadhi ya maeneo ya Kaskazini mwa Nigeria, raia wanalazimika kuwalipa fedha waasi ili tu waishi kwa amani. Hilo limeshuhudiwa katika Kijiji cha...

Huyu ndiye mwandishi aliyeuawa, aliyeacha simanzi Gaza

JERUSALEM, PalestinaSIKU chache zilizopita, tukio la mauaji ya waandishi wa habari watano huko Gaza lilitikisa ulimwengu, huku Israel ikifahamika kuwa ndiyo iliyohusika kupitia mashambulizi...

Utafiti: Kamari husababisha changamoto ya afya ya akili

LOS ANGELES, MarekaniUTAMADUNI wa kucheza kamari umeonekana kukita mizizi kwa vijana wengi duniani, ingawa sasa utafiti umebaini kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya tabia...

Utafiti: Matumizi ya feni chanzo ugonjwa wa moyo

LOS ANGELES, MarekaniLICHA ya umuhimu wake, hasa kwa maeneo yenye hali ya hewa ya joto, matumizi ya feni yanaweza kuwa na madhara kwa afya...

Utafiti: Mboga za majani kinga dhidi ya saratani

LOS ANGELES, MarekaniKUEPUKA ulaji wa nyama na badala yake kutumia mboga za majani kutakuepusha na ugonjwa wa saratani kwa asilimia 25, utafiti unaeleza.Tafiti nyingi...

Reijnders; ‘Fundi’ mpya Etihad aliyeziba pengo la De Bryune

MANCHESTER, EnglandKUONDOKA kwa Kevin De Bryune kuliwaachia simanzi mashabiki wa Manchester City lakini ujio wa Tijjani Reijnders ni kama umeanza kuwasahaulisha kila kitu kuhusu...

Arsenal, Liverpool zapewa ubingwa msimu huu EPL

LONDON, EnglandHIYO ni kwa mujibu wa wakongwe wa Ligi Kuu ya England (EPL), Jamie Carragher na Gary Neville, ambao kwa sasa ni wachambuzi wa...

Mwani: Urithi wa pwani wenye fursa kubwa kitaifa na kimataifa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwani ni zao la baharini lenye thamani kubwa duniani. Kwa miongo kadhaa, wakulima wa mwani hususan visiwani Zanzibar na mikoa ya...