27.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Israel yaitangazia ‘kiama’ Gaza

JERUSALEM, IsraelWAZIRI wa Ulinzi wa Israel amesema watalisambaratisha eneo la Gaza endapo wapiganaji wa Palestina, Hamas, hawatasitisha mapigano.Mbali ya kutaka lisitishe mapigano, pia Waziri...

Diaz aongeza mkataba Man City

MANCHESTER, UingerezaBEKI wa Manchester City, Ruben Dias, ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya jijini Manchester.Diaz, raia wa Ureno mwenye umri...

Dk. Magembe: Mawasiliano ya awali kabla ya rufaa ni muhimu kuokoa maisha

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Grace Magembe, ametoa wito kwa Waganga Wafawidhi wa hospitali za rufaa nchini kuhakikisha wanazingatia mawasiliano ya...

Ofisi ya Makamu wa Rais, DMI waandaa kongamano uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Chuo cha Bahari cha Dar es Salaam (DMI) imeandaa kongamano la kitaifa la...

Waziri Masauni awataka wananchi kulinda miradi ya mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yusuf Masauni, amewataka wananchi kuilinda miradi ya mabadiliko...

Eberechi Eze; Silaha nyingine mpya ndani ya Emirates

LONDON, EnglandARSENAL hawatanii. Wakati mabosi wa Tottenham wakiamini ni suala la muda kumtambulisha, Arsenal waliingilia na kumalizana na mshambuliaji wa Crystal Palace, Eberechi Eze....

Serikali yatenga Bilioni tisa kusomesha madaktari bingwa

*Kupunguza Rufaa nje ya nchi na kuvutia tiba utalii, Rais Dokta Samia awekeza bilioni tisa kusomesha madaktari bingwa Na Clara Matimo, Gazetini-Mwanza Serikali ya Awamu ya...

Rais Samia aimaliza Morocco, aiwekea Stars mil. 200/-

Na mwandishi wetu, GazetiniRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi Shilingi milioni 200 kwa wachezaji wa Taifa Stars endapo...

Bailey aandika historia Serie A

ROMA, ItaliaBAADA ya kujiunga na AS Roma, winga aliyekuwa Aston Villa, Leon Bailey, anakuwa mchezaji wa kwanza raia wa Jamaica kuitumikia klabu hiyo ya...

EPL yavunja rekodi usajili Ulaya

LONDON, UingerezaKLABU za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeshatumia Pauni bilioni 2.37 katika soko la usajili wa majira haya ya kiangazi, kiasi kikubwa zaidi...

Mradi wa umeme Chalinze – Dodoma wamtibua Dk. Biteko

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekasirishwa na kasi ndogo ya utekelezaji wa mradi wa njia ya kusafirisha...

Kijana ahukumiwa jela miaka 30 kwa kubaka mzee wa miaka 80 kichakani

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, imemhukumu Said Nawanje (20) mkazi wa Yombo Lukinga, wilayani humo, kifungo cha miaka 30 jela...