28.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Nyuma ya pazia Marekani ‘kuichukia’ Afrika Kusini

Na mwandishi wetu, GazetiniSERIKALI ya Afrika Kusini imekanusha kile kilichoelezwa na ripoti ya hivi karibuni ya Marekani, ikidai kuwapo kwa ukiukwaji mkubwa wa haki...

M23 kugomea mkataba wa amani; DRC hatarini zaidi?

Na mwandishi wetu, GazetiniHATUA ya wawakilishi wa M23 kutohudhuria mkutano wa kusaini mkataba wa amani kati yake na Serikali umeibua hofu, wengi wakiamini bado...

Waasi 35 wauawa shambulizi la anga Nigeria

LAGOS, Nigeria JESHI la Nigeria limedai kuua wapiganaji 35 wa moja ya vikundi vya waasi baada ya kufanya shambulizi la anga jirani na mpaka wa...

Nuno kutimuliwa, Rodgers kupewa mikoba Nottingham

LONDON, UingerezaKLABU ya Nottingham Forest iko mbioni kumfuta kazi kocha Nuno Espirito Santo, wakati huo pia ikimpigia hesabu Brendan Rodgers anayeinoa Celtic kwa sasa.Rodgers...

Madrid kuivaa Oviedo bila mastaa wanne

MADRID, HispaniaKUELEKEA mchezo wao wa leo wa La Liga dhidi ya Real Oviedo, kocha wa Real Madrid, Xabi Alonso, atawakosa mastaa wake wanne.Kwa mujibu...

Fernandes awindwa Saudi Arabia

MANCHESTER, UingerezaKLABU tajiri ya Al-Ittihad iko mstari wa mbele kuiwania saini ya staa wa Manchester United, Bruno Fernandes, ikipanga kumnasa wakati huu wa usajili...

Venus hajamaliza, aibukia US Open

LOS ANGELES, MarekaniBINGWA wa dunia mara mbili kwa upande wa tenesi, Venus Williams, amesema mapenzi yake kwa mchezo huo ndiyo sababu ya kuamua kushiriki...

De Bruyne, McTominay waongoza ‘mauaji’ Napoli

NAPOLI, ItaliaKIUNGO wa kimataifa wa Ubelgiji, Kevin de Bruyne, alifunga bao la pili, baada ya Scott McTominay kuitanguliza Napoli, mchezo wa Serie A uliomalizika...

Ten Hag aanza vibaya Bundesliga

MUNICH, UjerumaniKOCHA wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag, amepoteza mechi yake ya kwanza ya Bundesliga akiwa kocha wa Bayer Leverkusen.Leverkusen walianza vizuri...

Gyokeres ameanza kurudisha ‘chenji’ Arsenal

LONDON, UingerezaSTRAIKA mpya wa Arsenal, Viktor Gyokeres, amefunga mabao mawili dhidi ya Leeds United, ikiwa ni mechi yake ya pili tu ya mashindano tangu...

Ronaldo aweka rekodi, Al Nassr yakosa ubingwa

RIYADH, Saudi ArabiaSTAA wa soka, Cristiano Ronaldo, ameingia kwenye historia nyingine ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 100 akiwa na klabu nne tofauti.Hata...

Safari za nje zamponza Rais Sri Lanka

COLOMBO, Sri LankaRAIS wa zamani wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe, amekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya rushwa, kwa mujibu wa taarifa ya polisi.Taarifa zinaeleza zaidi,...