Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi kushirikiana kwa karibu na wahifadhi katika kulinda, kutunza na kuhifadhi maeneo yaliyotangazwa kama urithi wa dunia, yakiwemo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupitia timu teule za mpira wa kikapu na mpira wa mikono limejivunia mafanikio ya bonanza la michezo waliloandaa kutokana na kuwa katika kuimarisha afya na mshikamano...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kwa mujibu wa ripoti ya GTI ya 2025 iliyochapishwa na Taasisi ya Uchumi na Amani, ukanda wa Sahel umeendelea kuwa kitovu...