29.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Madeuke nje ya uwanja kwa wiki sita

LONDON, UingerezaKOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, atamkosa kwa wiki sita hadi nane winga wake mpya, Noni Madueke, baada ya nyota huyo kupata majeraha ya...

Simbu afichua siri ya ushindi

Na Winfrida Mtoi,Gazetini Bingwa wa Dunia wa mbio za Marathoni za kilomita 42, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Sajenti Alphonce...

Pamba Jiji yaja na mbinu kuimaliza Yanga

Na Winfrida Mtoi Kocha Mkuu wa timu ya Pamba Jiji, Francis Baraza amesema hana presha yoyote kuelekea mchezo wao wa  kesho dhidi yaYanga  kutokana na...

Kocha Simba aaga, arejea Raja Casablanca

Na Mwandishi Wetu Baada ya kutoonekana na timu wakati ikirudi kutoka Botswana ilipokwenda mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Kocha Mkuu...

Neville amkosoa Arteta kisa sare ya City

MANCHESTER, UingerezaMKONGWE wa Ligi Kuu ya England, Gary Neville, amemtaka Mikel Arteta kuachana na mbinu zake.Kauli ya beki huyo wa zamani wa Manchester United...

Ricky Hatton: ‘Mtu wa watu’ aliyekutwa amefariki, aacha simanzi ulimwengu wa michezo

LONDON, UingerezaULIMWENGU wa michezo umetikiswa na kifo cha lejendari wa ngumi za uzito wa 'light welter' nchini Uingereza, Ricky Hatton.Kwa mujibu wa polisi wa...

Liverpool na rekodi ya ‘mabao ya jioni’

MERSEYSIDE, UingerezaUSHINDI wa bao 1-0 dhidi ya Burnley umeifanya Liverpool kuwa timu ya kwanza katika historia ya Ligi Kuu ya England (EPL) kushinda mechi...

Mreno atua Kaizer kuchukua mikoba ya Nabi

PRETORIA, Afrika KusiniSAA 72 tu baada ya kumfuta kazi Nasreddine Nabi, mabosi wa Kaizer Chiefs wamemtangaza kocha mpya.Pedro Goncalves, raia wa Ureno mwenye umri...

Amorim ajibu mapigo, awavaa wanamkosoa

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema hafikirii kubadili mbinu anazotumia, licha ya wengi kukosoa kiwango cha timu hiyo.Man United imekuwa na mwanzo...

Mtoto wa Zidane kuiwakilisha Algeria

PARIS, UfaransaLUCA Zidane ambaye ni mtoto wa mkongwe Zinedine, amechagua kuitosa Ufaransa na sasa ataonekana akiwa na timu ya taifa ya Algeria.Nyota huyo anakidhi...

Utajiri uliojificha matamasha ya Simba, Yanga

Na mwandishi wetu, GazetiniHIVI karibuni, klabu kongwe za soka hapa nchini, Simba na Yanga, zilikuwa 'bize' kwa shamrashamra za matamasha yake ya ufunguzi wa...

Recent articles

spot_img