23.8 C
Dar es Salaam

Michezo

Chama aipa heshima Singida BS

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mabao mawili yaliyofungwa na Clatous Chama yamefanikisha timu ya Singida Bs kutwaa ubingwa wa michuano ya Cecafa Kagame Cup kwa kuifunga Al...

Mgombea urais aahidi kumuajiri Klopp

BENFICA, UrenoHAITASHANGAZA kuona kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, akiajiriwa kuliongoza benchi la ufundi la Benfica.Ndiyo, mmoja ya wagombea wa nafasi ya urais...

Makocha Yanga, Simba wavimbiana

Na Winfrida Mtoi Kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kesho Septemba 16,2025, makocha wa Simba na Yanga, Fadlu  Davids na Romain Folz, kila mmoja ametambia...

Rooney asema Amorim ameshindwa kazi United

MANCHESTER, UingerezaKWA mujibu wa Wayne Rooney, Manchester United imekuwa mbovu zaidi chini ya kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim.Man United, mabingwa mara 20 wa...

CAF yaipiga faini Simba, kucheza bila mashabiki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Simba SC imepigwa faini ya Dola za Marekani 50,000 ( zaidi ya Sh. 100 milioni) na kuamriwa kucheza bila...

Simbu aweka rekodi ya pekee Tanzania, Rais Samia ampongeza

Na Mwandishi Wetu Mwanariadha Alphonce Simbu ameweka rekodi ya kuwa mwanariadha wa kwanza Tanzania  kushinda medali ya dhahabu katika mbio za riadha za Dunia 2025...

Yamal, De Jong kuikosa Newcastle

CATALUNYA, HispaniaKOCH wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa atamkosa mshambuliaji wake, Lamine Yamal, katika mchezo wa Alhamisi ya wiki hii dhidi ya Newcastle United.Wakati...

Makocha waliofungashiwa virago msimu huu

LONDON, UingerezaNI wiki chache tu zimepita tangu msimu huu (2025-26) wa soka la Ulaya ulipoanza lakini tayari baadhi ya makocha wameonja 'joto la jiwe'...

Waziri Mkuu azomewa Chelsea ikiambulia sare

LONDON, UingerezaWAKATI Chelsea ikilazimishwa sare ya mabao 2-2 na Brentford jana, hali ilikuwa mbaya kwa Waziri Mkuu wa Uingereza aliyekuwa uwanjani akifuatilia mchezo huo...

Martial aondoka Ugiriki, atua Mexico

ATHENS, UgirikiMSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester United, Anthony Martial, amekamilisha usajili wa kujiunga na Monterrey ya Mexico.Nyota huyo anaungana beki wa zamani wa Real...

Ngao ya Jamii Zanzibar kuchezwa kesho

Na mwandishi wetu, GazetiniMCHEZO wa Ngao ya Jamii kati ya Mlandege FC na KMKM SC unatarajiwa kuchezwa kesho katika Uwanja wa New Amaan Complex,...

Mtaalamu wa usajili Arsenal kutua Brighton

LONDON, UingerezaALIYEWAHI kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Arsenal, Jason Ayto, anajiandaa kuanza ajira yake mpya katika klabu ya Brighton.Mei, mwaka huu, Ayto aliondoka Arsenal...

Recent articles

spot_img