23.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Mashabiki wamtolea uvivu George Weah

MONROVIA, LiberiaRAIS wa zamani wa Liberia, George Weah, amekumbana na ukosolewaji mkali kutoka kwa mashabiki baada ya kauli yake ya hivi karibuni.Weah aliyewahi kucheza...

Flick afunguka Yamal kukosa Ballon d’Or

CATALUNYA, HispaniaKOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amesema staa wake, Lamine Yamal, atakuwa bora zaidi kutokana na hasira za kuikosa Ballon d'Or ya mwaka huu.Yamal...

Mashabiki Simba kulipa faini ya CAF

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu hiyo namba maalumu za  kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia kulipa  faini...

Yanga, Simba zaumiza kichwa mapambano ya jezi feki

Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya kudhibiti jezi feki ni ngumu pamoja na jitihada wanazofanya na kutumia mbinu nyingi...

Bondia afariki siku chache baada ya kupigwa

ACCRA, GhanaBONDIA mwenye umri wa miaka 27, Ernest Akushey, ameripotiwa kupoteza maisha, zikiwa ni siku chache tu tangu alipopoteza pambano.Akushey alidundwa na Jacob Dickson...

Locatelli asakwa kila kona England

TURIN, ItaliaSAINI ya kiungo wa Juventus, Manuel Locatelli, inawindwa vikali na klabu za Ligi Kuu ya England, zikiwamo Aston Villa na West Ham United.Wakati...

Maignan aingia rada za Man United

TURIN, ItaliaKLABU ya Manchester United imeanza kumfuatilia mlinda mlango wa AC Milan, Mike Maignan, licha ya kwamba wana upinzani mkali kutoka kwa Chelsea.Man United...

Arsenal, Liverpool zamgombea Vinicius

LONDON, UingerezaIMERIPOTIWA kuwa klabu za England, Arsenal na Liverpool, kila moja inajaribu kuinasa huduma ya mshambuliaji wa Real Madrid raia wa Brazil, Vinicius Jr.Vinicius...

Timu 64 kushiriki Kombe la Dunia

NYON, UswisSHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) linatazamia kufikisha timu 64 zitakazokuwa zikishiriki fainali za Kombe la Dunia.Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza katika...

Kwanini wanasoka Ujerumani hawaipati Ballon d’Or?

Munich, UjerumaniMARA ya mwisho kwa mchezaji wa Ujerumani kutwaa tuzo ya Ballon d'Or ni miaka takribani 30 iliyopita. Ni Matthias Sammer aliyeibeba mwaka 1996.Sammer...

Antony apachika bao, aizima Nottingham

SEVILLE, HispaniaBAO la dakika ya 85 la winga wa zamani wa Manchester United, Antony, limeiwezesha Real Betis kupata sare ya mabao 2-2 dhidi ya...

Kidao aondolewa  TFF

Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo...

Recent articles

spot_img